Nionavyo mimi kwa jiji la Arusha mamlaka kulazimisha shughuli za bar na nights clubs mziki mwisho saa 6 usiku ni aina nyingine ya kuzorotesha uchumi na kudidimiza social life ya wakazi wa Arusha. Tourist city kama Arusha haipaswi kuwa na sheria za hovyo kama hizi.
Polisi wanao reinforce katazo...
Pesa za wateja kwenye akaunti ya mkekabet hazipo. Huu ni wizi. Nani anawalinda pale Gaming Board? Haiwezekani udhulumu wananchi halafu kampuni iendelee kufanya kazi. Inabidi serikali kuingilia kati.
Wamefunga operation ghafla almost 2 months now ligi zimeanza wamerudi na pesa za watu wamekula...
Kuna idea nyingine kwamba hawa simba walikuwa wa mchongo .. Yaani walikuwa wa nguvu za giza kutoka kwa wazee wetu ambao walikuwa wanapinga ujenzi wa reli ile , so sokomoko zima lilikuwa ni LA kufifisha juhudi za ujenzi wa reli not to advance into hinterlands of Kenya
naomba kuuliza, mwenye kufahamu nini kimewasibu MKEKABET maana web haipatikani, hela zetu zimo ndani .. au ndo washakianua tayari ? Yaani hawapatikani kwa namna yoyote ile
Ila siku zote wanasema politics ni dirty game, inawezekana katangulizwa kwa baiskeli ya miti haiwezi toka kigamboni to Dodoma .. The means will justify the end!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.