Recent content by The best 007

  1. The best 007

    Special Thread: Cristiano Ronaldo Fans

    Cristiano ni famous kuliko Messi huo ndiyo ukweli ruka juu anguka chini huo ndo ukweli, ila huu uzi kwa sasa hauna maana cz yashapita hayo.
  2. The best 007

    Special Thread: Cristiano Ronaldo Fans

    Huu uzi ungekuwa umeuanzisha kuanzia miaka ile 2006 mpk sasa ungekuwa na comments nyingi sana, ila kwa sasa hauna mana japo mm pia mwanangu uyo.
  3. The best 007

    Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Hapana, mwanamke na mwanaume ni vitu viwili tofauti, hata kihisia tunatofautiana, mwanaume akitoka nje ni vishawishi ila mwanamke akitoka nje ni umalaya.
  4. The best 007

    Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Na kwnn unakubali kuishi na ukimwi?
  5. The best 007

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hakuna viumbe wajinga duniani kama wakenya.
  6. The best 007

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Walishangilia walivyoongopewa eti wanawekewa seat za kisasa, jamaa plan zao mbovu sanaa, yn wamekopa mabilioni ya pesa kujenga uwanja alafu finalization inawashinda.
  7. The best 007

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwahiyo suala la viti vya ww1 wamekubali wajinga hawa.
  8. The best 007

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huwa hawazingatii mitaro wajinga hawa, tumeshawaambia miaka mingi nyuma lkn wabishi.
  9. The best 007

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Design za ki Africa, kama talanta mwanangu 🤮🤮🤮🤮🤮
  10. The best 007

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Waliongopewa wanabadilishiwa seats, kuna mbwa wakaja kupiga vigele gele humu kumbe ilikuwa danganya toto za Ruto kwa wakenya (wajinga). Waambie hizo seat ziko hapo to stay 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  11. The best 007

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hao Uganda nao kama mwanamke malaya, mara atake kujiunga na reli ya diesel ya Kenya mara Tanzania, hawaeleweki.
  12. The best 007

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wakenya ni wajinga sn, huo uwanja tangu Chan tuliwaambia renovation iliyofanywa pale ni jua kali wakabisha, sasa ona mwezi mmoja baadae uwanja umezidi kuwa hovyo, alafu ukiangalia mazingira jinsi yalivyo unaona kabisa uwanja haujaguswa kwa matengenezo licha ya kutumika mara kwa mara...
  13. The best 007

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nyinyi ni wajinga sn, mnaliwa pesa kwa kushangilia kitu ambacho hamtokuwa na faida nacho, one month after completion unageuka ghost, wakenya ni wajinga sana nyie watu. Angalia hili ghost, mwezi mmoja baada ya renovation jua kali 👇👇
  14. The best 007

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nchi moja ya kipumbavu sn, angalia huu uwanja waliojaribu kulinganisha na Mkapa stadium baada ya kufanya ka renovation jua kali. Uwnaja hata mwezi haujaisha umegeuka ghost 👻 wakenya hawawezi kuwa civilized aisee . Alafu pia nilichogundua hata viti walikodi ili kuficha aibu zen wakavirudisha...
Back
Top Bottom