Huna akili wewe, hv wewe kwa akili zako kenya inaifikia GDP ya Ethiopia? Congo hii ya mavita kila siku inaweza kuifikia tz kwenye GDP? Congo ilikuwa chini kabisa lkn baada ya kuipa USA madini tayari wameipandisha, nchi haina hata barabara huo uchumi mkubwa inautoa wapi. Waafrika wacheni kuwa...
Hawa jamaa ni malofa kweli kweli, wenzao tumeshatoka kwenye haya manyasi ya aina hii, tupo kwenye hybrid kama ulaya, wao wamewekewa manyasi asilia kama kasarani 👇👇🤣🤣🤣🤣
Hawapaswi kuandaa hii michuano, watatuaibisha hawa washamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.