Hapana, mwanamke na mwanaume ni vitu viwili tofauti, hata kihisia tunatofautiana, mwanaume akitoka nje ni vishawishi ila mwanamke akitoka nje ni umalaya.
Walishangilia walivyoongopewa eti wanawekewa seat za kisasa, jamaa plan zao mbovu sanaa, yn wamekopa mabilioni ya pesa kujenga uwanja alafu finalization inawashinda.
Waliongopewa wanabadilishiwa seats, kuna mbwa wakaja kupiga vigele gele humu kumbe ilikuwa danganya toto za Ruto kwa wakenya (wajinga). Waambie hizo seat ziko hapo to stay 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakenya ni wajinga sn, huo uwanja tangu Chan tuliwaambia renovation iliyofanywa pale ni jua kali wakabisha, sasa ona mwezi mmoja baadae uwanja umezidi kuwa hovyo, alafu ukiangalia mazingira jinsi yalivyo unaona kabisa uwanja haujaguswa kwa matengenezo licha ya kutumika mara kwa mara...
Nyinyi ni wajinga sn, mnaliwa pesa kwa kushangilia kitu ambacho hamtokuwa na faida nacho, one month after completion unageuka ghost, wakenya ni wajinga sana nyie watu. Angalia hili ghost, mwezi mmoja baada ya renovation jua kali 👇👇
Nchi moja ya kipumbavu sn, angalia huu uwanja waliojaribu kulinganisha na Mkapa stadium baada ya kufanya ka renovation jua kali. Uwnaja hata mwezi haujaisha umegeuka ghost 👻 wakenya hawawezi kuwa civilized aisee . Alafu pia nilichogundua hata viti walikodi ili kuficha aibu zen wakavirudisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.