Recent content by The best 007

  1. The best 007

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2019 niliulizwa kuhusu wasifu wangu na mtu nisiyemjua na alichukua CV yangu

    Ushaharibu ndugu yangu, nilikufanyia interview kwa siri sasa nayakuta huku jamiiforums.
  2. The best 007

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Wafanyakazi 50 Kiwandani- Kibaha

    Haya ndiyo mawazo yanayotakiwa na sio kudhihaki kwa maneno ya shombo.
  3. The best 007

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Wafanyakazi 50 Kiwandani- Kibaha

    Hivi nyinyi watu wa design hii mna watoto kweli? Mbn kila siku mnakuwa kama watoto, umri ushaenda humu mitandaoni hakuna haja ya kutafuta sifa za kijinga na za kishamba namna hiyo. Mtu ameleta fursa, kosa lake liko wapi, kama wewe unaona haifai si uache wengine huenda inawafaa, acheni kuwa...
  4. The best 007

    JamiiForums Tanzania Nauza kitanda na godoro lake kwa 250k tu

    Sasa wewe hujazungumza ila umetema shombo, acha ujinga.
  5. The best 007

    JamiiForums Tanzania Nauza kitanda na godoro lake kwa 250k tu

    Kwani bidhaa kutumika ni ya kwanza hiyo kuuzwa? Acha utoto kwenye biashara za watu, jamaa anauza mali yake tena kwa bei rafiki kabisa na kitanda kinaonekana hakijatumika sn, mm mwenyewe ningekuwa nakihitaji ningechukua.
  6. The best 007

    JamiiForums Tanzania Nauza kitanda na godoro lake kwa 250k tu

    Hiyo ni biashara wewe kama hujapenda si unakaa kmya kuna haja gn kuongea shombo kwenye biashara za watu, huoni kama unamkosea jamaa?
  7. The best 007

    JamiiForums Tanzania Nauza kitanda na godoro lake kwa 250k tu

    Ndiyo mana anauza 250 vyote hivyo, wewe kweli bado unakaa hom kweli nimeamini.
  8. The best 007

    JamiiForums Tanzania Nauza kitanda na godoro lake kwa 250k tu

    Sasa unaongea hivyo ili upate faida gn au ulitaka kumaanisha nn labda, mana jamaa anauza mali yake na kwa bei aliyotaja ni ndogo sasa wewe unasema huwezi kutoa hata laki ulitaka kumaanisha nn.
  9. The best 007

    JamiiForums Tanzania Nauza kitanda na godoro lake kwa 250k tu

    We jdmaa unajua bei ya hivyo vitanda na godoro au unaongea ili mradi uchekeshe watu.
  10. The best 007

    JamiiForums Tanzania Dawa ya kutibu UKIMWI

    Sema humu jf wakiiona hii comment yng watapita nayo, sijaelewa kwnn.
  11. The best 007

    JamiiForums Tanzania Dawa ya kutibu UKIMWI

    Sio inasemekana bali ni kweli na kuna watu humu jf wanaijua, ipo na ishaponya watu mm shahidi.
  12. The best 007

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ss ndo English gn hii.
  13. The best 007

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sidhani, ila nafikiri Afcon ijayo tutaandaa wenyewe.
  14. The best 007

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ndo ukweli huo mzee ata ulie.
  15. The best 007

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Affordable stadium 😂 😂 😂 😂
Back
Top Bottom