Hivi nyinyi watu wa design hii mna watoto kweli? Mbn kila siku mnakuwa kama watoto, umri ushaenda humu mitandaoni hakuna haja ya kutafuta sifa za kijinga na za kishamba namna hiyo.
Mtu ameleta fursa, kosa lake liko wapi, kama wewe unaona haifai si uache wengine huenda inawafaa, acheni kuwa...
Kwani bidhaa kutumika ni ya kwanza hiyo kuuzwa? Acha utoto kwenye biashara za watu, jamaa anauza mali yake tena kwa bei rafiki kabisa na kitanda kinaonekana hakijatumika sn, mm mwenyewe ningekuwa nakihitaji ningechukua.
Sasa unaongea hivyo ili upate faida gn au ulitaka kumaanisha nn labda, mana jamaa anauza mali yake na kwa bei aliyotaja ni ndogo sasa wewe unasema huwezi kutoa hata laki ulitaka kumaanisha nn.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.