Kweli hii kauli sio nzuri hata kidogo huwezi fiwa halafu ukaambiwa aliyekufa mungu alipenda zaidi ina maana nyie ambao mpo kwenye msiba mungu hawapendi
Mi nakushauri uwe unakaa nawatu kama wakwe zako au wageni na bosi wako halafu uwe unakula maharage mara kwa mara ukijamba mbele yao wakat umesinzia hutasinzia tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.