Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
Hiyo mkuu inaitwa TAMAA u have no excuse ya kulikwepa hilo neno.
Its nomal kwa wanaume kutamanitamani hasa msichana unaemuona kila siku. Dont full uaself tht you love tht girl.
Nakuhakikishia, hata ukimuacha huyo girlfrnd wako ukaamua kuwa na huyo rafiki yake, lazima itafka wakati utamtaka mwingine.
Acha tamaa na utulie na huyo ikiwezekana oa kabisa. Ukipuuza its up to you.
sio tamaa..... sa nyingine inatokea kweli unakuta unampenda kuliko mpenzi wako, mbaya zaidi na ye kaishasimuliwa na rafiki yake mambo yako so mnakua mnaangaliana kiwiziwizi