Recent content by thales

  1. T

    JamiiForums Tanzania Natamani sana kuacha pombe ila nashindwa

    Umeongea vema. Nami ninarudia,"HAJAAMUA".
  2. T

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa Sindano ya Anti D kwa wanawake wenye kundi negative la damu

    A single IVIG infusion can cost anywhere from $100 to over $350 or more per gram. On average, the reported cost for IVIG treatment in the US is approximately $9,720, and if patients undergo 4 to 5 infusions per month, then it would cost them around $41,796 per month
  3. T

    JamiiForums Tanzania Sasa hivi kupita mkesha/sikukuu bila ngumi imekuwa kawaida sana kitu ambacho miaka hiyo ilikuwa ni Nadra mno

    Siku hizi boys are becoming girlish. Wavulana wanalelewa kikikekike sana. Homones za kiume zinaishia kabisa!!vitoto vya kiume vinaitwa Junior
  4. T

    JamiiForums Tanzania Manara tangu akiwa Simba nilikuwa ninauona unafiki wake

    He's a dead horse!
  5. T

    JamiiForums Tanzania Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

    What inspired your thoughts here? I'd love to hear more about your viewpoint, Mr. Paschal.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Nyerere kutangazwa mtakatifu: Kanisa Katoliki mnataka watu wamwige Nyerere kwa lipi hasa? Umaskini, udikteta, ujamaa, ucheshi au nini hasa?

    Unajua historia ya hawa Paulo, mt. Dismas, Daudi, Musa, Augustine, Mathayo?
  7. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu mfumo wa wanaume kuwanunulia chakula wapenzi wao halafu wao kubaki njaa unaitwaje?

    Kwenye English kuna hii misemo, "It's my treat", "Let's go French",-this is when none remembers who ordered what at the end when the bill is brought forward. "It's on me". "Let's go Dutch"- it means everyone pays for themselves. "Let's go German"- everyone calculate his/her exact share of the...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya Ghafla: Kuikinai pombe kutoka kuwa mlevi wa kupindukia

    Umeingia kwenye energy drink?!!!
  9. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa sisi wanaume tuliooa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?

    ....kufa kabla yake?????!!!!!!!!! Umeongea na Mungu
  10. T

    JamiiForums Tanzania Processing fee ya mikopo ya benk ni wizi uliokaliwa kimya

    Kwenye taasisi za fedha mikopo ya aina zote( mfano: mortgages, overdraft, bank guarantee, salary advance, etc) ndio bidhaa/huduma zinazozifanya hizo taasisi ziishi. Wenyewe wanaziita, "Asset-based products". Kwa hiyo wakimpata mteja lazima wakukamue. Jaribu kujiunga na SACCOS ndogo maana na...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua kama online courses serikali ya Tanzania inazi acknowledge kwenye soko la AJIRA

    Hazitambuliki. Ukitaka uhakika soma Open University online courses/distance learning courses/ virtual learning courses. Pia unaweza kusoma online courses kutoka kwenye vvyuo vingine vya hapa Tanzania ambavyo vina usajili kamili wa TCU/NACTVET. NB: Hata hivyo online courses kutoka kwenye hiyo...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa CCM apendekeza Vyuo Vikuu vianze kutoa Nusu Degree kwa Wanafunzi wanaoishia njiani

    Mbona huo utaratibu upo! Sema wanafunzi wenyewe huwa hawafuatilii kwa kuwa hajui!
  13. T

    JamiiForums Tanzania Responded NMB wagoma kurudisha hati ya nyumba, japo deni lao limeshalipwa lote

    Kama kwa upande kweli umemaliza deni; na umeomba urudishiwe hati imeshindikana kupatiwa. Hapo patamu. Ukimpata wakili mzuri; una uaga umaskini wa shida ndogo ndogo. NB: Inawezekana hiyo hati 1. Ilikuwa misplaced 2.imefanyiwa mkopo kwa mtu mwingine 3. Unakomolewa maana hukukata michuzi wakati...
Back
Top Bottom