Recent content by Thadey1

  1. Thadey1

    Diamond anunua jumba kwa Tsh Bilioni 1 na kulifanya makao makuu ya Ofisi za Wasafi(WCB) nchini

    Team kiba mnanifuhashaga sana yaan mpo kwa ajili ya kuonyesha kwamba kiba yuko juu. Hapo hatuzungumziii nani ana nn ila tu wao km Wcb ndo wameshare nasi yeye kama hakutaka ni maamuzi yake
  2. Thadey1

    Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

    Inaumiza sana
  3. Thadey1

    Mwanamke huyu mtamuuu!

    Pole yake kwa kubememndwa
  4. Thadey1

    Wanaume, hamuwezi kumsaidia mwanamke mpaka ufanye nae mapenzi?

    Halafu kingine inawezekana ukamsaidia kiroho safi halafu yeye akikutana na mashoga zake anajisifia kwamba wewe ndo kubuzi chake cha kujichumia Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Thadey1

    Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

    Hata kama zitakuwa so zake lkn lazima kuna percent anachukua kwa kutumia jina lake Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Thadey1

    Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

    Dah!! Umeidadavua vizuri sana ni kweli diamond level zake so wasanii wa hapa bongo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Thadey1

    Harusi ya mdogo wangu ilivyochukua wazazi na ndugu zangu wote

    Mungu akufanyie wepesi pia yeye anajua kwa nn ilitokea usisahau kumshukuru Mungu kwa kila jambo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Thadey1

    Matusi kwa mtongozo wa siku moja tu

    Kaza buti ili nawe akikaa kwa six by six unamfurumshia mambo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Thadey1

    Simu ya kisasa kwa 250k(laki2.5)

    ahaa kumbe ushaipata ila binafsi nimeipenda sana battrey so ishu hata kufanyia maujanja inawezekana
  10. Thadey1

    Simu ya kisasa kwa 250k(laki2.5)

    hii product broo kiukweli cjaiona hata mm nilimuona nayo mzungu nikaimind kinoumaa
  11. Thadey1

    Simu ya kisasa kwa 250k(laki2.5)

    me nahitaji ELEPHONE P7000 niambie nitapata kwa bei gan?
Back
Top Bottom