Maswali yakujiuliza
1. Inamaana watekaji wanagereji mpaka wakabadili rangi, plate number na ata spare Tyre?
2. Walimpeleka wapi je ni karibu na gymkana au kawe na kuendelea? Kama ni kawe na kuendelea walimrudishaje mpaka gymkana na polisi wanapatrol usiku afu gari wanalijua?
3.inamaana watekaji...
nimekaa kijiweni siku ya christmas tukawa tunapiga story wengi nilikua nimekaa nao wanasema ukabila na ukanda unakuja kwa kasi sana Tanzania toka serekali ya awamu ya tano iingie madarakani
naomba wadau nisaidieni hii ni kweli au nikukosa hoja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.