Recent content by Thadei Mushi

  1. Thadei Mushi

    Maswali tata kuhusu utekwaji na upatikanaji wa Mohamed Dewji MO

    Maswali yakujiuliza 1. Inamaana watekaji wanagereji mpaka wakabadili rangi, plate number na ata spare Tyre? 2. Walimpeleka wapi je ni karibu na gymkana au kawe na kuendelea? Kama ni kawe na kuendelea walimrudishaje mpaka gymkana na polisi wanapatrol usiku afu gari wanalijua? 3.inamaana watekaji...
  2. Thadei Mushi

    Nauza led Tv 32 na simu aina ya Tecno Camon x.

    Sema bei hali saivi ngumu mm nina 250
  3. Thadei Mushi

    Umesoma shule moja na mtu maarufu hapa bongo? Mtaje

    Chibu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Thadei Mushi

    Korogwe: Mkurugenzi afunga ofisi na kuja jina la mgombea wa CCM. Mgombea wa CHADEMA nusura aporwe fomu

    [emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Thadei Mushi

    Mkurugenzi ATCL: Dreamliner haijaharibika, tunafanya marekebisho ya kawaida. Ndege bado ipo kwenye majaribio...

    haijaharibika lakini tunafanyia matengenezo kidogo [emoji23][emoji23][emoji23] kauli za kipimbi hizi
  6. Thadei Mushi

    Rais Magufuli anaendesha nchi kwa misingi ya upendeleo wa kifamilia, kikabila na kikanda!

    nimekaa kijiweni siku ya christmas tukawa tunapiga story wengi nilikua nimekaa nao wanasema ukabila na ukanda unakuja kwa kasi sana Tanzania toka serekali ya awamu ya tano iingie madarakani naomba wadau nisaidieni hii ni kweli au nikukosa hoja?
  7. Thadei Mushi

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    sina historia ya kukosa kila weekend lakin juzi united kanichania mkeka walaki 2 niliweka timu chache mzigo wa kutosha hauwezi kukosa
  8. Thadei Mushi

    Masha, Mkumbo, Mwigamba, Albert Msando na Katambi Mwenyekiti BAVICHA, wajiunga CCM

    alijiunga na ccm mda sana leo kaenda kuomba ukuu wa wilaya pale
  9. Thadei Mushi

    I'm HIV + naanza safari yangu ya matumaini

    mungu ana makusudi yake juu yako utaishi tena kwa amani
Back
Top Bottom