Nauza led Tv 32 na simu aina ya Tecno Camon x.

Nauza led Tv 32 na simu aina ya Tecno Camon x.

Dukani nauza aboder nch 32 kwa 320,000 wewe ushatumia unauza 340,000 aise mbona hauko fair kabisa
bac sawa bwana ,mana humu wario serious niwachache,mm nimeweka namba na tunaweza ongea ,inategemea na tv yenyewe ,c aborder ukaona zote ni za dizain moja,zinaachana mkuu mm niliweka namba iko wazi watu wanakuja kila mtu na lake,mm inategeme na bei niliyochukulia na kifaa chenyewe,sasa cwez kuji devaluet et kisa nimeamua kuuza na niuze kwa hasara zaid,anaeshindwa anaacha tu .ni hayo tu mkuu
 
bac sawa bwana ,mana humu wario serious niwachache,mm nimeweka namba na tunaweza ongea ,inategemea na tv yenyewe ,c aborder ukaona zote ni za dizain moja,zinaachana mkuu mm niliweka namba iko wazi watu wanakuja kila mtu na lake,mm inategeme na bei niliyochukulia na kifaa chenyewe,sasa cwez kuji devaluet et kisa nimeamua kuuza na niuze kwa hasara zaid,anaeshindwa anaacha tu .ni hayo tu mkuu

Ndo hivo Mkuu,,
 
Ndo hivo Mkuu,,
munajua tunapoamua kuuza vitu siyo kwamba ndo tupatiane fursa za za kutabaaishana,ukiona haikuingii kichwani unapita tu kama huoni mana hata mm mumiliki nilitumia gharama kuwa nacho,hivyo elewa ninapo amua kuuza kwa imani yangu nauza kiroho safi kwa bei punguzo ambayo najua mtu hata ambaye hakuwa na wazo la kumiliki hicho kitu anaweza akaamua kuchukua kwa sababu zinazofahamika.sasa kuna baadhi ya watu wanakejeli sana humu.ila niseme tu kwa mtu mwenye akili zake hawez kusumbuana na watu.atakaye hitaji atanioana na asiyenauhitaji apite kama haoni wala sio kesi wakuu.
 
munajua tunapoamua kuuza vitu siyo kwamba ndo tupatiane fursa za za kutabaaishana,ukiona haikuingii kichwani unapita tu kama huoni mana hata mm mumiliki nilitumia gharama kuwa nacho,hivyo elewa ninapo amua kuuza kwa imani yangu nauza kiroho safi kwa bei punguzo ambayo najua mtu hata ambaye hakuwa na wazo la kumiliki hicho kitu anaweza akaamua kuchukua kwa sababu zinazofahamika.sasa kuna baadhi ya watu wanakejeli sana humu.ila niseme tu kwa mtu mwenye akili zake hawez kusumbuana na watu.atakaye hitaji atanioana na asiyenauhitaji apite kama haoni wala sio kesi wakuu.
Wewe ni mzaramo nini mbna una maneno mengi ivo ,usishindane wa watu wa humu ,utaumia kichwa bure ,kuna watu humu kazi yao ni kuharibu biashara za watu ,kumbe hata kijiko hawana
 
haina shida mkuu ila mm,nilitaka niwaeleze mana wengi wao naona wanaasili ya ushoga hiv.
 
We hiyo aborder nkupe 150.....ka umeelewa nambie nkuchek bob....mwenyw npo mwanza
 
We hiyo aborder nkupe 150.....ka umeelewa nambie nkuchek bob....mwenyw npo mwanza
ingekuwa ya wizi ningekupa mkuu ila bahati mbaya nilinunua mwenyewe hivyo najua gharama yake na hiyo devaluation yako katafute nchi 14
 
Back
Top Bottom