Ukisikia Mtanzania kafa kwa njaa isipokuwa kwa sababu ya majanga yatokanayo na kazi ya Mungu, ujue huyo ni mvivu tu. Anatakiwa ajiongeze. Maendeleo hayapatikani kwa siku moja, tena kama unatokea kwenye maendeleo negative uliyonayo mpaka ufike sifuri kwanza ndipo uanze kuhesabu moja. Fikiri kwa...
Wakati mwingine nikitafakari sana nanashawishika kumshika mkono raisi kwa mambo anayofanya. Kwa jamaa huyu inabidi ufanye kumuamini tu kama unavyoamini kwenye dini yako kuwa mambo mazuri yanakuja. Kwa mifumo hii iliyokuwepo, overhaul yake haitampendeza kila mtu kwa sasa. Tuamini kuwa mwisho wa...
Mission ya ukusanyaji kodi TRA nadhani inahitaji kutazamwa kisayansi zaidi. Badala ya kuwa supportive kwa wafanyabiashara imekua a major hindrance. Fikiri mfanyabiashara kupoteza masaa kadhaa akisubiri kulipa kodi ofisi ya TRA, hao wafanyakazi wanapiga stori tu, ukiuliza unapewa sababu ambayo...
Vipe nafasi hivyo vilivyopo, usividharau kwa sababu ya matatizo madogomadogo vinayopitia. Kumbuka baadhi ya matatizo hayo yanaasisiwa au tuseme yanatokana na harakati za chama dola.
Nijitahidi kuepuka kurudia yaliyochangiwa na wengine. Sababu zingine ninafikiri ni pamoja na
1. Social unrest (hali ya wasiwasi katika nchi)
■ watu hawafanyi shughuri za uzalishaji ipasavyo sababu ya mambo ya bomoabomoa inayoendelea nchi nzima, mauaji yasiyo na maelezo, malumbano yasiyo na tija...
Wewe mgoloko kweli kabisa hutasogea kielimu, unamuonea wivu jamaa kwa kuonyesha uelewa wake wa uchumi? Sasa mbona umeshindwa kumkosoa alipokosea badala yake unamshambulia. Au kwa vile unamfahamu basi unataka kumtisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.