Jamaa kambinya ili asiendelee na hiyo hoja ki protoco hoja za polepole sio za kujibiwa kienyeji hivyo kwenye majukwaa jikite kwenye uchaguzi polepole anakuja vipi kwenye jukwaa kubwa hivyo mbele ya mwenyekiti wa chama unaleta ishu za polepole nadhani lazima amewekwa kitimoto huyu na sidhani kama...
Yani uharishe wewe tu na jamaa yako tayari utangaze Dodoma kuna mlipuko wa ugonjw wa kuharisha wizara husika ipo mbona haijatoa tamko acha kuzua taharuki
Huende ni watendaji wazuri pengine waliondolewa kwa hujuma ama kilichopelekea watenguliwe tayari wameshajirekebisha kwanini wasitumike tena kama walikuwa na manufaa kwa nafasi. zao kumbuka hao nao ni binadamu wana familia na ndg zao wanawategemea inapokuja habari njema kama hii inagusa wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.