MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Wadau nawasabahi. Leo MKEKA wa Makatibu Tawala wa Wilaya walioteuliwa pamoja na Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya Miji na Majiji umetoka.
Miongoni mwa Waliotangazwa Wamo Waliowahi kutenguliwa kwa makosa mbalimbali lakini LEO wameteuliwa tena.Miongoni mwa Watendaji hao ni Katibu Tawala Bw. MTELA MWAMPAMBA huyu alitenguliwa na Hayati RAIS Magufuli lakini leo kateuliwa tena Kuwa Katibu Tawala wa Wilaya Songea
Pia yupo Bw ARON KAGULUMJULI Huyu alitenguliwa Ukurugenzi wa Manispaa Kinondoni lakini leo kateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza
Ukweli INASHANGAZA sana hivi HAKUNA Watanzania wengine wenye SIFA za kufanya kazi hizo mpaka warudishwe Wale Wale WALIOTENGULIWA?
Hivi Mamlaka ya TEUZI kweli haina KUMBUKUMBU za Watendaji WALIOTENGULIWA hapo AWALI Au ni Suala la KULINDANA NA KUBEBANA?
Miongoni mwa Waliotangazwa Wamo Waliowahi kutenguliwa kwa makosa mbalimbali lakini LEO wameteuliwa tena.Miongoni mwa Watendaji hao ni Katibu Tawala Bw. MTELA MWAMPAMBA huyu alitenguliwa na Hayati RAIS Magufuli lakini leo kateuliwa tena Kuwa Katibu Tawala wa Wilaya Songea
Pia yupo Bw ARON KAGULUMJULI Huyu alitenguliwa Ukurugenzi wa Manispaa Kinondoni lakini leo kateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza
Ukweli INASHANGAZA sana hivi HAKUNA Watanzania wengine wenye SIFA za kufanya kazi hizo mpaka warudishwe Wale Wale WALIOTENGULIWA?
Hivi Mamlaka ya TEUZI kweli haina KUMBUKUMBU za Watendaji WALIOTENGULIWA hapo AWALI Au ni Suala la KULINDANA NA KUBEBANA?