Wazo lingine njoo mwanza ujenge nyumba za za kupangisha za 150k kwa mwezi
Nimesema hiyo kwasababu hiyo ni bei vijana wengi wanao anza maisha wanatafuta nyumba nzuri za self one room or two alf kweny markets zilizopo hazkizi mahitaji(low quality)
Kabsa,mm pia nlikua mtu wa dini sana lakin nlikuja kugundua too much is harmful,cjui nielezeeje lakin usipo makinika inaweza kudestroy... humanity kwasabab sio wote wanaongoza hizo dini sio wa Mungu
Jana nlienda mpomvu wakanambia huu msim wamvua kaz nizashida labda mpk mhuko may ndo kaz ztaanza patikana,alf pia wananiambia ningekuwa mwenyeji ingekuwa rahis kupata laasivyo ni ngum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.