Hakuna mkamilifu hata mmoja. Pia tukisema hatuna dhambi tunajidang'anya na wala kweli haipo mioyoni mwetu. Je jiulize ww u mkamilifu? Hujawai kuzini nje ya ndoa! Tafakari!
Pole sana. Hizo ndo changamoto za kwenye ndoa. Kwa ushauri wangu wakat mwingine jaribu kubadilisha mazingira ya kufanyia tendo la ndoa. Siyo kila siku nyumban. Mwaweza toka kwenda mbali kdg na nyumban. Pia wakat mwingine mfanye awe rafiki wa karibu huenda kuna wakat unakuwa mkali kwake...
Duh pole sana kijana. Jaribu kujipanga tena huyo siyo wa kwako keshampata mwenzake. Najua utaumia Ila haina jinsi, usipoumia huwezi kujifunza. Ili dhahabu iwe safi lazima ipite kwenye tanuru la moto. Mshirikishe Mungu atakupa aliye wa kwako ambaye hatokuumiza. Ila kumbuka maisha ni lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.