Itapendeza [emoji12]Na hapo anataka hyo pesa wakati mimi natumia Tecno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itapendeza [emoji12]Na hapo anataka hyo pesa wakati mimi natumia Tecno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa. Si ndio kujiongeza huko mkuu.Haa haa haa yan sku ya kwanza tu
Mnakutana na baba kakamatwa unaingia
Akiln kweli
Hahahaa. Nimefanyaje best.Nakuonaa[emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mkuu natokea mkoani kabisaaaa....na huwa tunajulikana kabisa sijui kwanini....nina mifano hai mingi sana huwa kila nikija Dar hata nikikaa Bar nashangaa narukiwa na warembo mara atauliza hiki kiti kina mtu au vipi.....na hapo kuna wengine viti vingine vitupu...au sijui tunavyovaaga suits za mikoani na joto lile Bar na hapo unaonakana umeshushwa na 'SU'
Ana simu kali kuliko yangu anatumia Sony flan hivi kubwa kubwa, wigi lilikuwepo hahahahaUlivyomuangalia vizuri alikuwa kavaa wigi?amepiga mkorogo?Ana simu ya Tecno??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio wanawake wote wana njaa kiasi hicho mkuu. Nadhani kuna alivyoviona kutoka kwako ambavyo ndio vilimshawishi na kuona kwamba hawezi kosa kitu.
Ila yataka moyo aisee. Ndugu wapo watu wa karibu wapo unaanzaje kumuomba pesa mtu usiyemjua aisee.
Pia upande wa pili wa shilingi kama unacho msaidie tu mkuu ili babake apate kutoka huko aliko. Hahahaaa.
Usawa huu mkuu pesa haitoki kirahisi namna hivyo pambaneni tu na hali zetu dadeki
Mimi niliambiwa kama unanipenda nipe elfu 30000 nilimpa paka Leo nipo nae Na Haniombi hela pia ananipenda.Hao wamezoe aiseee kuna mmoja
Juz nlikua na text tu nione kama
Mvua itanyesha mhh sku ya pili
Nikaitishwa 30 ya kusuka
Nilisema tu shkamoo
Uliangukia zar aiseee haoMimi niliambiwa kama unanipenda nipe elfu 30000 nilimpa paka Leo nipo nae Na Haniombi hela pia ananipenda.
Inaonekana wewe ni mstaarabu sana na hupendi kuchunguza mambo, endelea hvo hvo siku ukimchunguza utapata pressure ufe....Mimi niliambiwa kama unanipenda nipe elfu 30000 nilimpa paka Leo nipo nae Na Haniombi hela pia ananipenda.
AhsanteInaonekana wewe ni mstaarabu sana na hupendi kuchunguza mambo, endelea hvo hvo siku ukimchunguza utapata pressure ufe....
Babake kashindwa kulipa 25% ya mnada, msaidie. Mtoto wa Dr L.SSasa wewe kahakwambia mzee wake yuko Central we unamuuliza tena kituo gani!
Anyways yawezekana alikuwa anataka akupige ila pia usiache kuangalia uwezekano wa kuwa ana shida kweli, unajua mtu unapokuwa na shida huchagui mahali pa kuomba msaada hasa hasa kama shida yenyewe ni dharula na yahitaji uharaka.