Habari wana jamvi,
Je, kuna kanuni au sheria inayoumzuia mtumishi ambaye si ajira mpya kuhama toka serikali za mitaa kwenda taasisi za seikali mpaka akamilishe miaka mitatu kwa mwajiri wake wa sasa?
Nimepitia standing orders zote na kanuni zake sijaona kipengele cha miaka mitatu kukaa kwa...
Acha umbumbu mbwa wewe, dawa ziko wapi? Mishahara haijaongezwa kwa mwaka wa nne sasa, hakuna ajira mpya wala hakuna masilahi bora kwa watumishi, inaonekana haujielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu rais nashangaa mpaka muda huu yuko madarakani, ukiangalia anavyo ongea, anavyo jenga hoja, yani anavyo tukana, nadhani ndio rais asie mstaarabu duniani, hana staha ana roho mbaya, mbinafisi, mkabila, nchi haieleweki inaenda wapi duuh
Habari wana jamvi, nimejaribu kutafakari sana juu ya dhamira ya mkuu wa kaya, kwa miaka miwili aliyo kaa, mpaka sasa sijajua dira yake, dhamira yake ni kuipeleka nchi wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanaumia sana, na kama mtu ameweza kumaliza.miaka.mitano anasoma, leo hii unakuja kumshika kwa mitihani ya kisiasa totally unprofessional, nchi hii ina maajabu mengi sijapata kuona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.