Rais Magufuli nakushangaa sana

Rais Magufuli nakushangaa sana

Unajua Magufuli kama anaona nzi wengi awe jasiri afute vyama vingi ili atawale kiamani kuliko anayoyafanya kwa sasa,aamue hivo
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua




Wazalendo Tumuombee,

Ndugu hii kitu bado haijafikia level ya jinsi nyinyi mlivyowekeza katika kufanya propaganda, ila mjue siku yaja soon na wao watanza kujibu mapigo kwa njia hizihizi za kuchafuana kwenye media na propaganda.

Just imagine Yule dada na jeshi lake lile akiweza kukusanya watu hata 10K tu na akaamua wavamie Twitter au fb au Jf au Insta kwa pamoja nini kitatokea?
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,
Mavi matupu

Swain kabisa 26 April count down
 
Ss kama si wao wanaofanya hayo mauaji kwann wasifanye uchunguzi ili waje na jibu la anayeyafanya hayi, lkn badala yake hakuna uchunguzi wala nn ss watu waamini nn ktk hilo km si wao
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,

Umejuaje kuwa wao ndio wanaengineer mauaji? You are part of this damned politics of our old party
 
Kweli kabisa, kunamijitu inamkatisha tamaa kwa uzalendo anaoufanya.
1. Anafanya juhudi kubwa ya kizalendo ya kununua madiwani lakini kuna watu wanamkatisha tamaa.
2. Anafanya juhudi kubwa na ya kizalendo kuua democrasia na mfumo was siasa za vyama vingi, Uhuru.
.
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,
Umesahahu kuweka namba zako za simu. Umesahau pia kwamba ni Kanisa Katoliki ndio wametoa tamko lisilopendeza kwako mdaka makombo, na wala sio walutheri!
 
Wazalendo mpo wawili tu Tanzania..
Wewe na Mumeo.

Hata afanye bidii gani Tanzania haiwezi kuendelea..
Hakuna Demokrasia, Maendeleo ni Msamiati.
Maendeleo yatakuja Vipi mkuu,wakati mabilioni kibao yanatumika kurudia chaguzi ndogo za madiwani na wambunge ambao wala hawajafa wako hai na hao hao ndio wagombea?

Vita ya uchumi ni kubwa,siku hazigandi,maendeleo ya viwanda tutayasikia tu,kila awamu inakuja na wimbo wake.

Awamu ya nne tuliimbiwa wimbo wa uchumi wa gesi;kwani sasa hivi unakasikia hako kawimbo?

Tayari wapizani wameshaitoa serikali kwenye kipaumbele cha maendeleo sasa ni chaguzi na kesi Mahakamani.
 
Kanuni ya tatu ya Newton, kuasi cha nguvu unachokielekeza kwenye jambo, utapata nguvu ya upinzani ya kiwango hichohicho.
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,
Tangu ule uwongo na takataka zako za dokta shika mkuu huaminiki tena humu JF

Ulileta takataka zako za mawazo kuhusu Dr shika, ukatunga uwongo nani atakuamini wewe Popo

Wewe ni popo hujulikani unasimamia njaa au tumbo,
 
Wazalendo mpo wawili tu Tanzania..
Wewe na Mumeo.

Hata afanye bidii gani Tanzania haiwezi kuendelea..
Hakuna Demokrasia, Maendeleo ni Msamiati.
Kama unaamini huo ushenzi unauita demokrasia ndo maendeleo basi kama nchi tuna safari ndefu sana. Afrika ni Afrika na itabaki ni Afrika tu. Labda muhamie huko huko kwa mabwana zenu wazungu
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,
Mshangae babako, kakutolea wapi na tundu lake dogo?
 
Namshangaa Rais wa jamhuri ya Tanzania,

Wachache wanatumia gharama na nguvu kubwa mno kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza kwenye media kumchafua,
Watu wana engineer mauaji na kuyareport kimataifa eti yamefanywa na serikali yake,kumbe wao wenyewe,
Watu wamewekeza kwenye forums mbali mbali kumchafua

Watu kila kona kwenye vyama vya siasa wao wamejikita kumkatisha tamaa

Watu wamewekeza media za kimataifa kumchafua yeye hakati tamaa mfano DW, na FXFM ya Canada,

Makanisa hasa ya walutheri ambao mhehsimhes mmoja aliwahi kuwaambia ni zamu Yao ya urais , nao wako busy kumkatisha tamaa

Hiyi kiumbe kaumbwaje? Hakati tamaa na sioni dalili yoyote Ile ya kukata tamaa,

Nadhani Una kiwango cha uvumilivu kinachozid Hata cha mwalimu Nyerere,

Scenario: Tukio la vyama vya siasa kukureport vibaya kimataifa angekuwa Nyerere angeshafu vyama

Sugu angepelekwa kigamboni Badala ya uko mbeya alipo

Instagram Isingeruhusiwa nchini , kama ambavyo hairuhusiwi baadhi ya nchi Kwa sababu ya mtu Fulani


Wazalendo Tumuombee,
Mkuu kadri tar 26/4 inavyozidi kukaribia na Kichaa kinazidi kuwapanda!
 
Back
Top Bottom