Recent content by Tengero

  1. Tengero

    DOKEZO TAMISEMI imulike wilaya ya Songwe

    Kaka yangu Dr. Humphrey Masuki majungu haya hayatakusaidia. Wewe ni mtumishi wa umma ambaye mwajiri wako anaweza kukuhamisha wakati wowote kwa kadiri ya matakwa yake. Kuhamishwa kwako isiwe sababu ya kutengeneza majungu dhidi ya wenzio. Kuhamishwa kutoka Wilaya ya Songwe na kwenda kwenu Moshi...
  2. Tengero

    Kampeni dhidi ya Diamond Platnumz: Wanaharakati kuweni serious kidogo

    Hao wanaojiita Wanaharakati wanaoendaesha campaign dhidi ya Diamond ni wapumbavu tu ambao hawajawahi kuendesha campaign yoyote ikafanikiwa. Hawana mchango kwa msanii yeyote hapa nchini. Mtu kama Maria Sarungi amesoma, amekula na kuishi kwa Kodi za wanyonge hawa hawa halafu anajifanya kuendesha...
  3. Tengero

    Je, Tanzania Imefikia Kuhitaji Tume ya Maridhiano?

    Stupid. Hili jukwaa limekuwa la hovyo sana. Maridhiano ni kati ya nani na nani?
  4. Tengero

    La Bandari ya Bagamoyo kama ni kweli basi ni ukombozi

    Naona tayari mmeanza kufanya kazi ya mabeberu hata kabla Magufuli hajazikwa
  5. Tengero

    Yupo Wapi Mwalimu Wa Karate Mr. Ringo?

    Wakuu namtafuta Mr. Ringo. Huyu alikuwa ni Mwalimu wa Mchezo Karate pale Upanga, jijini Dar es Salaam miaka ya 1998 kama sikosei hadi miaka ya 2000. Wakati huo alikuwa anaishi Mtaa wa Mvita na Livingston. Kazi yake kubwa ilikuwa ni kuwafundisha watoto na Vijana masuala ya Karate na alikuwa...
  6. Tengero

    Imeshika kasi: Tuendelee Ushujaa wa "Ka-Corona, tusitishane, tuchape kazi" tukiteketea; au tubadili msimamo na tusitisishe Mikusanyiko tuokoke?

    Kaka hivi huwa huna kazi za kufanya au JF huwa wanatoa Tuzo maalum kwa wanaoleta thread nyingi? Hupati hata muda wa kunywa maji! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Tengero

    Rais Magufuli, weledi unahitajika kwenye hili, ukivimba tunapasuka

    Acha upumbavu. Halitapigwa goti kwa beberu yeyote, awe Pompeo au Pompio Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Tengero

    Orodha ya magazeti ya kufungia nyama Tanzania (The meat wrapping news papers)

    Ni ovyo au hovyo? Kajifunze kuandika kabla ya kuanza kuwakosoa wenzie Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Tengero

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Pole yako wewe usiejua tunakokwenda. Sisi Watanzania tunajua Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Tengero

    OBSERVATION: Mkapa na Kikwete kuna tatizo(?) Hawasalimiani!

    Kuna wakati JF inapoteza ubora wake kwasababu ya kuruhusu upuuzi kama huu utamalaki kwenye jukwaa. Jana ulipoona post hii ililazimu kwenda kuangalia tukio lile la uzinduzi wa kitabu cha Mzee Mkapa mwanzo mpaka mwisho na kisha nikajiridha pasi na shaka kwamba mleta uzi pengine alikuwa na agenda...
  11. Tengero

    Nani kasema kwamba CHADEMA hawatachagua Mwenyekiti Taifa?

    Utakuwa ni Mchaga wa Hai
  12. Tengero

    Tetesi: Inadaiwa CCM inatumia bilioni 12.8 katika mipango mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni ujasusi wa kusini na kanda ya kati

    Nadhani mleta uzi atakuwa yupo kwenye usingizi mzito. Tusubiri aamke kwanza
  13. Tengero

    Joseph Roman Selasini (MB): Naibu Spika; Kufuru uliyofanya dhidi ya Ukristo haivumiliki

    Acha upuuzi. Ni mara ngapi Chadema wamefanya matukio kama haya? Mnachotakiwa kuhangaikabnacho ni kuzuia kifo cha chama chenu badala ya kuhangaika na Dr. Tulia
  14. Tengero

    Waraka wa pongezi kwa Makaburu wa Afrika ya Kusini

    Nitashangaa sana kama JF mtauacha upuuzi huu uendelee kuwepo hata kwa dakika mbili
Back
Top Bottom