Kiunachokusumbua hasa ni nini. Nchi mbalimbali za afrika zinamlilia kuwa alikuwa mtetezi wa raslimali za afrika ndio maana marais zaidi ya 11 za afrika pamoja na wawakilimi wa kimataifa zaidi ya 50 wamefika kuungana na watanzania kumuaga.uko sahihi
Propaganda kubwa inatumika "kuuza" msiba huu
Na kama unavyojua raia wa chini wasio na elimu ya kutosha huwa ni wahanga wa kwanza wa propaganda, hasa zile ambazo ni State Engineered Propaganda
Mkuu wewe ndo unatakiwa ucheck oblangata yako.hii ni aibu kwa JF nzima,kufia Mzena ni ushujaa?chek tena oblangata yako
Una laana. Siyo bureTbc kazi yao ni kusifia tu sifa za kijinga Marehemu alipewa sifa kila secunde kuliko Mola wao me mwenyewe nilistuka Maana Katika Mashujaa wa Africa hana hata chembe moja ya kupewa sifa hiyo... Tbc kuna michumia Tumbo mule... wanadhani ukiwa raisi tu unakuwa Shujaa wa Africa so na Mwinyi nae ni Shujaa wa Africa? ???? And Kikwete pia????? Mashujaa walishaisha Marehemu nchi inapata uhuru kutoka kwa Mashujaa wa Africa alikuwa na miaka miwili
Mbona mnateseka sana. Adui yenu ameshaondoka na hivyo mko huru kufanya au kuishi mtakavyo kwa sababu aliyekuwa anawakwamisha hayupo tena. Mzee kamaliza kazi yake hapa duniani mwacheni akapumuzike.Achana na upuuzi wako. Unajulikana ulivyokuwa unamchukia JPM kama unavyoichukia Yanga. Kila mara nilikuwa nakuonya, jaribu kuwa mdadisi badala ya kudumaza ubongo wako. Nyerere aliitwa shujaa wa afrika kwa vile alipigania waafrika wajitawale! JPM alipigania waafrika watawale raslimali zao. Full stop kijana
Ndiyo kubwaa.kwani kuwa shuja wa Afrika mpaka uhutubie UN?
Shujaa wa Afrika kivipi wakati alikuwa anapendelea kutumia lugha ya mabeberu English?Achana na upuuzi wako. Unajulikana ulivyokuwa unamchukia JPM kama unavyoichukia Yanga. Kila mara nilikuwa nakuonya, jaribu kuwa mdadisi badala ya kudumaza ubongo wako. Nyerere aliitwa shujaa wa afrika kwa vile alipigania waafrika wajitawale! JPM alipigania waafrika watawale raslimali zao. Full stop kijana
Hao ulioawataji wapo kwenye vitabu tuKwani Yesu au Muhammad alikufa na Corona?
tena anatumbua watoto wa mama ntilie wamesoma kwa shidaaa!!! Eti lengo akajenge uwanja chato!!! Unaumiza watu wako mwenyewe??badala ya kukamata mabeberu??? Mie nilikataa ofa yake huyu!!!Naona waimba mapambio wanamalizia malizia beti za mwisho kabla hatuja delete kabisa.....hana jipya aende tu mkono wake chuma na damu za wasio hatia
Uko sahihi kabisa haina ubishi.kwa sababu hawakuhusu!!! Na hutawajua kamwe hata Yesu akija wewe utakuwa kuni za kumwangamiza shetani. Sasa utamwona wapi?? wkt unateketea motoni??Hao ulioawataji wapo kwenye vitabu tu
Hawajawaia kuwepo duniani,
So you think I'm scared of that white boy?Uko sahihi kabisa haina ubishi.kwa sababu hawakuhusu!!! Na hutawajua kamwe hata Yesu akija wewe utakuwa kuni za kumwangamiza shetani. Sasa utamwona wapi?? wkt unateketea motoni??
Wa Yesu utatujua tu lazima. Na wale wa shetani mnajulikana.
Mbinguni sisi lazimaaaaaaaaa.....!! Na. Huu utakuwa ushahidi wangu.
Yesu namjua sana tu!!!!
Halafu ikawaje ?" SITISHWIIII... WALA SITISHIKIIIII..... kauli ya kishujaa R. I. P JPM
Our Jesus is not blondy white boy as your Mom tought u!!!!!So you think I'm scared of that white boy?
You IDIOT
Matendo yapi yanafanya aitwe shujaa wa Africa?Hadi atangazwe ? Shujaa utamjua kwa matendo
Usijali ntatumia zakoNilikuwaga najua una akili
You're so brainwashed my sister,Our Jesus is not blondy white boy as your Mom tought u!!!!!
Stop dat primitive non sensical behaviour!!!... U whore!!!
Hamna alichifanya zaidi ya kuharibu uchumi. Kama huelewi hili ujue hapa siyo mahali pako. Nenda Facebook.Hivi ninyi mtaendelea kum'underrate Magufuli mpaka lini? Ni miaka mitano, kafanya ya miaka 40 iliyopita combined!
Hivi ww umefanya nini hata ulete uzwauzwa hapa! Mkapa ana mazuri yake lakini Magufuli kazidi sana!
Tulia weweShujaa
Duh!!!! Hamubadiliki
Nasubiri porojo zenu.. pole sana maana mnaumia hadi basi hata mlizidi kumfatilia kupita wengine wote nchini.. pokea leso ufute machozi
Ni shujaa wa Afrika Sana ya SinzaMagufuli ni Shujaa wa Africa period!