Recent content by Tendulkar222

  1. T

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

    Guys, Kwanza, majeshi yanayohusika ni ya SADC, chini ya command ya SANDF (South African National Defence Forces). Hii operation ni kuwaondoa wanajeshi hao kutoka DRC kwenda nchini kwao, na hii ni awamu ya pili, awamu ya mwanzo ilikuwa miili 10+ ya askari wa SANDF waliopitia Rwanda, then Uganda...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

    Pascal, Hii ni notification kwa public kuwa Job ****** amejiuzulu. Barua ya kwenda kwa katibu wa bunge na copy kwa CCM au vice-versa haipo hapo. So you cannot judge ukweli wataujua KM wa Bunge na KM wa Chama. Inawezekana amequote kimakosa issue ya barua kwenda wapi na copy kwenda wapi. But...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Serikali imekusanya bilioni 48 kutoka kwenye Tozo za miamala ya simu kwa wiki nne

    Mkuu, Haya mambo yako siku zote. Kusema yamerudi ni uongo mtupu. Kwani yaliondoka lini? Kuchagua receipt au kupewa ya kiwango cha chini baada ya kununua kitu ni vitu vipo miaka nenda rudi. Ukisema yalitoweka ni uongo. Cashless economy ndio solution ya hii kitu. Watu wengi wakitumia mifumo ya...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Daraja la Tanzanite upotevu mkubwa wa pesa ambazo zingetumika kuimarisha sekta ya afya tungeokoa maisha ya akina mama wengi vijijini

    Mkuu South Korea wametupa mkopo wa kujenga approach roads na Tanzanite Bridge. Sio msaada au grant. Msaada au grant ilitolewa na Japan kwa Tanzania kujenga TAZARA flyover na juzi Morrocco - Mwenge Road section.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Nimeikubali barabara ya Mwenge - Morocco hakika ilani ya CCM kiboko, Lissu asingeweza haya!

    Hello. Si mkopo ni grant unapewa pesa unasema wapi wajenge. Wao hutaka uondoe incumberances zote mabomba au nyumba au tanesco cables. Tukishabikia hata grants tunadhalilisha chama na mwenyekiti wa chama. Tuna miradi mingi ya kunadi sio hii michache ya misaada. Tena huu mchakato wake ulianza...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Nimeikubali barabara ya Mwenge - Morocco hakika ilani ya CCM kiboko, Lissu asingeweza haya!

    John. Ni msaada kutoka wananchi wa Japan. Sio fair kushukuru chama na kutoshukuru Japan government. Wametoa fedha 100%. Kama hujui, Flyover ya Tazara au Mfugale flyover Japan wametupa zawadi wakitoa fedha 100%. Si sawa wala sio fair kushukuru chama.
  7. T

    JamiiForums Tanzania #COVID-19: Tuwajibishane

    Hata Rwanda haina vifo
  8. T

    JamiiForums Tanzania BAA KWENYE MAKAZI YA WATU: Serikali ilichukulie kwa uzito

    Well ndugu, kweli bar zimekuwa kero kiasi Fulani. Sheria ya mazingira hairuhusu noise pollution inayozidi decibels flani (kiwango cha sauti). Bars hazitakiwi kubughudhi watu kwa masauti ya miziki. Bars au pubs lazima zifuate sharia. Zinaweza kuweka sound proof na watu wakae ndani, wanywe na...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Dr. Mpango fungua ukurasa mpya wa hii kodi ya Road License

    True. Wanapoteza sana sio kwa vehicles ambazo haziko serviceable bali hata zile ambazo a person in one way or the other hana pesa kwa wakati Fulani. I think wangeweka limit (ukomo) wa hizi penalties. Kwa mfano mwisho wa penalties ni mwaka mmoja. Kama penalty ni 50,000 then total penalty ni sh...
  10. T

    JamiiForums Tanzania MV Dar es Salaam kufa kabla ya kuanza kazi?

    This is very true. Huhitaji data kwenye issue ya masaa ya safari. Ni zaidi ya matatu wakati bus inatumia saa moja unusu. Technically hata ungekuwa wewe ungepanda bus uwahi Dar.Ndio maana hatupandi. Concept ya huu mradi ilikuwa kupunguza foleni kwakutumia njia ya bahari kwa kutumia fast boat...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Aibu ya samaki wa Magufuli iwe funzo gani kwetu

    No way! He was right kivipi? Jamani tumieni bongo, huyu Magufuli kaleta hasara mno! Ok kesi aside, je kama kulikuwa na kesi au pingamizi, iweje serikali iachie meli iliyokamatwa iwe vandalised? Je iweje wagawe samaki bure wakati kesi iko mahakamani, ili kuokoa gharama za kuwatunza wangeuza...
  12. T

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanaua vipaji vya siasa kwa Vijana, Yu-wapi James Ole Milya na Bananga

    Juliana hello, My dear, wewe umekuja CCM juzi juzi, tulifurahi kupata vijana kutoka CDM pamoja na Mtela. Kila siku zinavyoenda na ninavyoendelea kuangalia post zenu naanza kuona kama hatukupata kitu. Nyie vijana kwanini kila wakati mnaongelea CDM tu?? Hivi hakuna mambo mengine ya kuongelea...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Kagame anukisha bondeni, maafisa watatu ubalozini watimuliwa

    Pomboo, hello. President Kagame anastahili kuitwa the most dynamic president kutokana na aliyoyafanya kuitoa Rwanda ilipokuwa baada ya genocide to the economic success it is enjoying kwa sasa in a space of 15 years. Rwanda ilikuwa imekwisha kabisa, vita iliharibu kila kitu! Huyu jamaa PK ni...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Upotoshwaji unaofanywa na chadema juu ya chama cha act tanzania

    I think kutokana na bandiko lako mtu akiangalia kwa umakini ataona kama ni kweli ACT ni wadini. Kama mnataka kuwa tofauti na muwe mna mwelekeo msiendekeze kabisa suala la kuongelea udini. Wekeni kipengele cha kuto-discuss udini kabisa kwenye shughuli za chama chenu. Ukabila na ukanda vilevile...
Back
Top Bottom