Recent content by Temu JR

  1. T

    GE2025 CHADEMA inakwenda shimoni

    Inakufaje wakati mnaiogopa?
  2. T

    Hotuba ya Freeman Mbowe kuwaunga mkono Luhaga Mpina, na Wafanyabiashara wa Kariakoo hii hapa

    We chawa upo? Una D mbili kwanza au unajisemesha tu?!
  3. T

    Huduma za mabus ya Mwendokasi ni mbovu kama zilivyo huduma za daladala

    Mwendokasi ni usafiri wa hovyo na mchafu kuliko niliosafiria kijijini kwetu! Karne ya 21, watu wanajazwa kwenye mwendokasi na majasho yote, bado wenye magonjwa ya hewa! Kwangu huu ni usafiri worse kuliko popote nilipowahi kufika Tanzania hii. What a shame kwa nchi inayojisifu inapiga hatua...
  4. T

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Nashukuru sana mkuu! Nitajuaje kuwa ni regulated au sio regulated?
  5. T

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu vipi kuhusu kumpata broker, unampata na utahakikishaje kuwa ni halali na sio utapeli? Na je demo account inafaa bila broker au ni mpaka awepo? Tafadhali naomba majibu mkuu. Asante!
  6. T

    Waziri Kairuki: Watumishi wanaotoa siri za Serikali mitandaoni kukiona cha mtema kuni

    Hhahahaha......! Umeniwahi. Kwani watumishi wanapata wapi hizo taarifa za siri, na je taarifa za siri ni zipi!!? Huyu waziri asipotoa tamko mdomo unawasha au? Yaan majukumu yake kasahau kila siku kiguu na njia kutoa matamko? Aboreshe maslahi ya wafanyakazi, hakuna mwenye shida na masiri yao...
  7. T

    TUCTA wamuangukia Magufuli kwenye vyeti feki

    TUCTA ndo mzimu gani tena!? Hii taasisi imekua hovyo na ni kama haipo. Wafanyakazi wanaonewa na kuteseka wala hakuna anaejali maslahi yao. What is tucta bhana!!
  8. T

    Zitto: Amri ya Mkuu wa Wilaya kumkamata Halima Mdee ni mwendelezo wa matumizi mabaya madaraka

    Wakilala wanajua maisha yao yote ni watawala! Laiti wangejua kuwa siku itakuja na wala hakuna atakaewatazama, au hata kuwajali! They should learn to be good to people as they go up because they will meet the same people as they come down!!
  9. T

    Magufuli wewe ni mzazi unayejitambua

    Mkuu wapo wanaopata mimba na wanapiga one kama vile hawajawai ku-do! Ni uamuzi tu, usikariri kila kitu. siungi mkono teen mothers, ila suluhu sio kuwaadhibu, badala yake ni vema tungejua mzizi wa tatizo ni upi!
  10. T

    Arusha Mjini: Diwani wa Kata ya Muriet, Credo Kifukwe ajiuzulu

    Angeweza kumuunga mkono akiwa huko huko CDM sema kwa kuwa siasa za TZ zina element za uadui ndo ameamua kuachia ili aweze kudhihirisha uadui!! Wanasiasa wa hii nchi mnatia kichefuchefu kuliko makahaba, kila bwana mnamtamani!
  11. T

    Mkuu wa Majeshi na Ulinzi (JWTZ) kwenda Wilaya ya Kibiti Leo

    Tatizo wauaji wapo na raia na wanaendelea na shughuli zao mchana, then baadae wanafanya yao! Inatakiwa inteligensia ya ukweli kuwajua hawa wauaji
  12. T

    Mkuu wa Majeshi na Ulinzi (JWTZ) kwenda Wilaya ya Kibiti Leo

    Hii issue ya Kibiti wale polisi jamii wangekuwepo ungekuta mzizi ulishapatikana! Kibaya hawa wauaji wanadharau sana viongozi wetu! Juzi pale Kibaha mh raisi alisema dawa ya wauaji imepatikana na kwa sasa wananyooshwa! Nahisi hii vita sio ya maneno, kama ulivyosema, bila inteligensia ya maana...
  13. T

    Mbunge Ali Kessy: Waliohusika kusaini Mikataba ya Uchimbaji madini Tangu 1998 wanyongwe

    Anaongea bila kufanya tathmini ya kwamba wao na maccm wenzake ndo walipitisha. Huyu mbunge haeleweki, anadhani kuwa yupo salama!! Alitakiwa aseme ccm wote watoke madarakan kwa kulitia Taifa hasara kubwa! Anapenda kuongea ili asikike, tena kwa speed huku akijua wazi kuwa hana break!
  14. T

    E-mails kati ya James Rugemalira na Rais Jakaya Kikwete zitamaliza kesi

    Duh! Ugonjwa wa moyo tena? Au watampatia ugonjwa, maana bongo kila kitu kinawezekana isipokuwa kuusimamia ukweli tu!
Back
Top Bottom