Siyo siri dstv gharama zake zipo juu sana hata mimi nimeacha, nina kama miezi miwili, ila kupoitia thread hii nimepata kujua kwanini wao wanapandisha gharama kuliko wenzao.
Ahsanteni wadau
KAMA ULIOMBA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA JORDAN BASI ANGALIA JINA LAKO HAPA.....HII NI BATCH 1
http://juco.ac.tz/index.php/academic-programmes/admission-requirements/general-information?download=282:selected-candidates-for-bachelor-programmes-2015-selection-sep-29
AHSANTE
Mimi siamini kawa waislamu wanaweza kusema hivyo kama ilivyo andikwa hapo juu, sijui lakini kwa mtazamo wangu naona hoja hiyo hapo juu ndio inaweza kusababisha mgogoro wa kidini.
Kama dinizote zikiamua kuhusisha mambo yao na matamko ya wanasiasa basi nchi hii inaweza kufika pabaya zaidi...
gharama ni kama ifuatavyo
1. Tsh 50,000 ada ya mtihani
2. ada ya kituo hutofautiana ila ni kati ya Tsh. 20,000 hadi 25,000
3. ada kwa ajili ya malipo Posta Tsh 7500
4. usajili ORES nao hutofautina ila ni kati ya 4500 hadi 6000
NAKUTAKIA MAANDALIZI MEMA
upo sahihi mkuu, mi mwenyewe npo upande wa
UKAWA lakini kiukweli MATOKEO yaliyopo humu
JF had sasa bado yanaangalia hasa upande
mmoja kana kwamba CCM wameshinda kiduchu.
Huku kwetu Iringa maeneo mengi ya vijijini yamechukuliwa sana
na CCM na CDM kiduchu. kwa hiyo me
nawaomba wadau...
upo sahihi mkuu, mi mwenyewe npo upande wa UKAWA lakini kiukweli MATOKEO yaliyopo humu JF had sasa bado yanaangalia hasa upande mmoja kana kwamba CCM wameshinda kiduchu.
Huku kwetu Iringa maeneo mengi ya vijijini sana na CCM na CDM kiduchu. kwa hiyo me nawaomba wadau wanaopokea matokeo wayaweke...
Welcome
We are delighted that you have decided to undertake your tertiary studies at Teofilo kisanji University or are considering to do so.
MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO CHA TEKU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.