Recent content by tejateja

  1. tejateja

    Neno kwa Rais wa Ethiopia

    Mheshimiwa Rais karibu sana nchini kwetu. Nchi yako imepitia migogoro mingi sana ya ndani na mingine na nchi jirani. Naomba tafakari na fuata utaratibu unaofaa juu ya kupata eneo la bandari kule somaliland. Ufahamu kuwa somaliland sio nchi bali ni sehemu ya Somalia 🇸🇴.
  2. tejateja

    Waarab wa Sudan wamechinja sana weusi, tena kwa maelfu ila mweusi wa hapa JF kutwa unawaza Palestine

    Mbona haya mambo hayaingiliani hata kidogo mkuu. Siasa za Sudan na kinachoendelea kati ya Israel na wapalestina vitu tofauti . Vinahitaji ufumbuzi uliotofauti.
  3. tejateja

    South Africa: Unyama wa Israel haukuanza Oct 7

    Fuatilia kesi taratiibu utakuja kuelewa nini kinaendelea. This has nothing totally to do with Islam and Christianity. Na Kwa taarifa yako Israels are not Christians as many Christians think.
  4. tejateja

    Putin atakuwa mwiba dhidi ya Afrika Kusini katika kesi yao dhidi ya Israel mahakama ya ICC

    Ishu ya Putin na Ukraine ni tofauti sana na kesi ya Gaza. Gaza ni sehemu ya Israel. Ila mwisho wa siku Israel itakuja kutambua unyama wao na itakuwa too late.
  5. tejateja

    Mazayuni wanajiondoa GAZA kimyakimya kama walivyofanya Wamarekani Afghanistan

    Miaka elfu ngapi mkuu imepita mpaka sasahivi? Hapa tunaongelea miaka kama 2000 iliyopita . Tutumie ubinadamu tuondoe ushabiki na mihemuko . Mfano tu , ndugu zetu wangoni inasadikika walikuja nchini Tanganyika wakitokea Africa ya kusini. Je, ni vyema tukawafukuza na kusema warudi kwao...
  6. tejateja

    Mazayuni wanajiondoa GAZA kimyakimya kama walivyofanya Wamarekani Afghanistan

    Wengi wa waumini wa kikristo, wanashabikia Israel wakijua yakuwa waisraeli ni wakristo pia. Waisraeli sio wakristo na hata huyo Yesu Kristo hawamtambui. Kwa muisraeli ukristo ni upotevu na ibada ya sanamu. Mungu ni mwema sana siku moja haki itatendeka na wote wataishi pamoja
  7. tejateja

    Israel wana mizinga yenye uwezo wa kuifuta Gaza kwa dakika mbili tu

    All these capabilities you mentioned won't help Israel fight Palestinians/Hamas if you wish. Apartheid regime of South Africa was military extremely powerful. But wisdom came in and now they're all enjoying the peace . Oppressors and the oppressed living side by side. God bless South Africa and...
  8. tejateja

    Israel yaanza kupanga mikakati ya kujenga Gaza mpya baada ya vita, Hamas ni marufuku

    Kuua ideology sio jambo rahisi hivo ndugu, Hamas viongozi waanzilishi akina Sheik Yassini waliuwawa na Mossad ya Israel, lkn Hamas iliendelea kuimarika. Hamas wanapigania haki, Hamas si magaidi kama wengi wafikiriavyo. Kwa mtazamo wangu , hawa ndugu Jews and Palestinians wanatakiwa wakubaliane...
  9. tejateja

    Shamba linauzwa kibiti, Nyambunda

    Shamba linauzwa, linaukubwa wa ekari 20, umeme upo kijijini ni jirani na shamba. Ekari moja ni 500,000/ Kwa maelezo zaidi 0716548250
  10. tejateja

    Mapenzi ni nini jamani?

    Mapenzi huanza mara tu wapendanao wanapoacha kutakana kingono. Full stop
  11. tejateja

    Mapenzi ni nini jamani?

    Mapenzi yakweli huanza mnapoacha kutamaniana kingono.
  12. tejateja

    Biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka- Fahamu bei zake, uendeshaji wa biashara hii pamoja na faida na hasara zake

    Kwa yeyote mwenye uzoefu wa kutosha katika biashara hii tafadhali naomba ushauri. Nataka kuaingia katika biashara hii. Nipo hapa mjini dar es salaam. Mchango wako ni wathamani Sana kwangu.... 0716548250
Back
Top Bottom