Mheshimiwa Rais karibu sana nchini kwetu. Nchi yako imepitia migogoro mingi sana ya ndani na mingine na nchi jirani. Naomba tafakari na fuata utaratibu unaofaa juu ya kupata eneo la bandari kule somaliland.
Ufahamu kuwa somaliland sio nchi bali ni sehemu ya Somalia 🇸🇴.
Mbona haya mambo hayaingiliani hata kidogo mkuu.
Siasa za Sudan na kinachoendelea kati ya Israel na wapalestina vitu tofauti . Vinahitaji ufumbuzi uliotofauti.
Fuatilia kesi taratiibu utakuja kuelewa nini kinaendelea. This has nothing totally to do with Islam and Christianity. Na Kwa taarifa yako Israels are not Christians as many Christians think.
Ishu ya Putin na Ukraine ni tofauti sana na kesi ya Gaza. Gaza ni sehemu ya Israel.
Ila mwisho wa siku Israel itakuja kutambua unyama wao na itakuwa too late.
Miaka elfu ngapi mkuu imepita mpaka sasahivi? Hapa tunaongelea miaka kama 2000 iliyopita . Tutumie ubinadamu tuondoe ushabiki na mihemuko . Mfano tu , ndugu zetu wangoni inasadikika walikuja nchini Tanganyika wakitokea Africa ya kusini. Je, ni vyema tukawafukuza na kusema warudi kwao...
Wengi wa waumini wa kikristo, wanashabikia Israel wakijua yakuwa waisraeli ni wakristo pia. Waisraeli sio wakristo na hata huyo Yesu Kristo hawamtambui. Kwa muisraeli ukristo ni upotevu na ibada ya sanamu. Mungu ni mwema sana siku moja haki itatendeka na wote wataishi pamoja
All these capabilities you mentioned won't help Israel fight Palestinians/Hamas if you wish. Apartheid regime of South Africa was military extremely powerful. But wisdom came in and now they're all enjoying the peace . Oppressors and the oppressed living side by side. God bless South Africa and...
Kwa yeyote mwenye uzoefu wa kutosha katika biashara hii tafadhali naomba ushauri. Nataka kuaingia katika biashara hii. Nipo hapa mjini dar es salaam.
Mchango wako ni wathamani Sana kwangu....
0716548250
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.