Recent content by Tehran

  1. T

    Ma-IT wa NECTA mjitathmini

    Kabisa hata mimi nilipitia njia kama zako mkuu ila ikawa hola
  2. T

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Stay with me wa jay z
  3. T

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nataka wakubadilishana njoo halmashauri ya igunga mm nije dodoma manispaa, bahi au wilya ya chamwino idara ya elimu ya msingi aliye tayari anitafute inbox
  4. T

    Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

    Mlima huo unaitwa ndororo ni balaa ule mlima wakati wa nyuma kabla haujawekwa lami kipindi cha mvua magari mbovu hayapiti hapi
  5. T

    MJADALA: Nini kifanyike kuwadhibiti madalali wa nyumba, vyumba, mashamba, gari n.k?

    Ulaya hamna madalali wale ni mawakala wanaotambulika kisheria kama ni hivyo basi watu wangekuwa wanakuja tu kariakoo kutafuta mchezaji. Mfano kina Mino Raiola, Jorge Mendes Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom