Siwezi kukupinga sana ila angalia soko maana kila shilingi inaweza anzisha biashra,let say umeanza na shilingi elfu tano,unataka anzisha biashara ya juice haiwezekani kwani inahitajika uwe friji sasa utainunua vp na kama ipo nyumbani huwezi kuwa huru kuitumia ipo siku mshua atagomba tu
Tegwa Investment ni watengenezaji wa sabuni za magadi(kigoma) za miche.
Sabuni hizi ni nzuri kwa kuogea na kufuria,tunauza kwa jumla.
Pia tunatoa mafunzo ya utengenezaji wa sabuni hizi.
MAWASILIANO;Piga sim no.0768292116 au business.tegwa@yahoo.com
Tupo Mwanza.
Habari za saa hiz wapendwa mimi nina modem aina ya HUAWEI E303h-1 Hi-link ya Airtel Tanzania nina tumia
PC-DEll
RAM-760MB
WINDOW-XP PROFFESSIONAL
kila napoipachika kwenye pc yangu inashinwa kufanya installation hivyo inashindwa kufanya kazi ila nikitumia pc nyingine inakubali je tatizo ni...
Chief-Mkwawa,
Samahani kaka natamani sana kuwa fundi wa simu upanude wa software nahitaji msaada wako kaka kwani nina pc tu hivyo nahitaji maelekezo yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.