Wadau naomba msaada, nilipata kazi nzuri zaidi ya mwanzo, kote ni serikalini, kibali nafata utaratibu gani?
Natoka tamisemi kwenda central government , taratibu zikoje wadau
Hii inawezekana. Mimi nimepata kazi kwa mkemia mkuu Wa serikali na Nilikuwa kazini.
Zipo taratibu za mtumishi kuhama kutoka kazi moja kwenda nyingine, la msingi iwe juu kimaslahi au kicheo
Usije ukaenda ukakuta jina halipo, kama hujioni tangazo la pili, maana yake wamefanya marekebisho hivyo hata ukienda hutafanya kwa sababu wasimamizi watakosa pa kukuweka na watakuwa hawajakuandalia examination number.
Ushauri wangu ni kwamba ukiamua kwenda wahi mapema hata siku nne kabla na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.