Ahsante wana jf kwa jitihada zenu.
Mpaka sasa tumefanikiwa kupata walimu 18 since tumepost hili tangazo.
Walimu 12 wamekamilisha usajili na walimu 8 Kati yao wameshafanya Interviws na Sita wamedhachukuliwa wataanza mwezi 7.
Wawili hawajafanikiwa.
Waliobakia this week tunaamini tutafanikiwa...
Ahsante wana jf kwa jitihada zenu.
Mpaka sasa tumefanikiwa kupata walimu 18 since tumepost hili tangazo.
Walimu 12 wamekamilisha usajili na walimu 8 Kati yao wameshafanya Interviws na Sita wamedhachukuliwa wataanza mwezi 7.
Wawili hawajafanikiwa.
Waliobakia this week tunaamini tutafanikiwa...
Ahsante wana jf kwa jitihada zenu.
Mpaka sasa tumefanikiwa kupata walimu 18 since tumepost hili tangazo.
Walimu 12 wamekamilisha usajili na walimu 8 Kati yao wameshafanya Interviws na Sita wamedhachukuliwa wataanza mwezi 7.
Wawili hawajafanikiwa.
Waliobakia this week tunaamini tutafanikiwa...
for sure ukija kwetu ni mwalimu wa hesabu basi ujue hiyo hesabu ukikurupuka tu unapelekwa shule ya kwanza unajing'ata huwezi kudeliver ya pili the same na ya tatu no aaaaaahh utakalia bench.
tunafanyakazi na shule kuwa ambazo zinahitaji walimu waliojidhatiti.
pia registration sio 10 ni alfu 20.
Sasa @ Ze Heby unasema without dark you never see the start
Tanzania tusizoee mfumo huo huo people should be creative to save others.
mbona tunalalamika maisha magumu lakini wengi tunakatishana tamaaa?
appreciate any who can do what you can not do
kwanza huwezi kulipa kama hujajirudhisha.
then ukiona kweli ukakubaliana na terms na condition zetu then utakuwa registered but honestly hutorudishiwa registration kama umeshapelekwa kwa interviw tatu na umeshindwa
Humu ndani nouma kama huna moyo unaweza kufa kwa presha za vijembe.
ila karibuni walimu its serious and we mean what we are doing
wewe @ ilikua 2013 wacha kuwatisha watu bhana.
Haaaaa i like it
lakini mwalimu huwa anajua knachosemwa tatizo la humu hata mtu wa sales nae atataka ku comment mada ya jinsi ya kufanya operation mwilini.
Wacha kukariri kijana.
Watu wote hawapo kukutapeli.
Kama sio mwalimu na haikuhusu kaa kimnya.
Tunafanya hivyo since 2013 mpaka sasa humu if na kwenye magazeti
Hapana kuna mwalimu ambae alisoma ualimu na alikuwa nje ya field hiyo kwa muda hivyo akienda kwa interview amesahau mengi.
Lakini pia naamini ungekuwa mwalimu ungejua kinachomaanishwa.
Ndani ya field yetu kuna training au workshop ambazo huja wataalamu kwenye mashule na kukumbushana mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.