Recent content by Teacher_Of_Teacherss

  1. Teacher_Of_Teacherss

    Uhai, kifo, mwili na roho

    Uhai ninini?🤔 Uhai ni muunganiko wa mwili na roho Hivi viwili kimoja kikiwa kinaonekana na kingine kikiwa hakionekani, ungano lao kwa usahihi wake ndio huleta kitu kinaitwa UHAI 2. Kifo ni nini? 🤔 Kifo ni hali ya kukoma kwa uhai Kivipi? 😳 Roho inapojitenga na kile kiunganishi kingine...
  2. Teacher_Of_Teacherss

    Kusoma computer bongo kunabebwa na wanaokufundisha

    Vitu ambavyo tunafundishwa huko Machuoni, mahali ambapo tunalipia ada zaidi ya milioni 1 iwe kwa mihula michache au mingi, lakini ukweli acha tuongee. Unakuta mtu anaenda kusomea course labda ya IT, ila vitu ambavyo anafundishwa si deep ya IT kama inavyotaka. Ifukunyuliwe inaguswa tu juu, labda...
  3. Teacher_Of_Teacherss

    Vyuo bora vya kujifunza IT Tanzania

    1. Dar es salaam Institute of Technology (DIT) 2. St.Joseph University in Tanzania. 3. University of Dar es Salaam. 4. University of Dodoma
Back
Top Bottom