Serikali kuwachukulia hatua maafisa utumishi watakaochelewesha upandaji wa madaraja pamoja ulipaji wa ongezeko la mishahara kwa watumishi wa Umma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Angellah Kairuki ametoa tamko hilo leo Bungeni, Mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali juu ya...
*AS WATU WAOVU WATAMBUE KUMUONDOA TUNDU LISU MMOJA KUTAZALISHAKOFU_SHOO: LISSU WENGINE MAELFU.*
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dk Fredrick Shoo amewataka watu waovu watambue kumuondoa Tundu Lissu mmoja kutazalisha Lissu wengine maelfu.
Kauli ya Askofu Shoo...
Naomba kwa anayefahamu changamoto za zao la ufuta nipate msaada
Shambani kwangu ufuta unabadilika rangi rangi kuwa njano then kukauka wakati ndio unaelekea kutoa maua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.