Ila nimegundua kitu kimoja mleta mada ndio kachanganyikiwa hajui mbinu au plan za ukawa katika kuzindua kampeni alitegemea ukawa waweweseke baada ya tangazo la katazo la uwanja ila wametulia kimya. ama kweli kimya kina mshindo mkuu
Mabadiliko hayachagui namna kwa sababu hao uliona wewe wasafi sana ndio wametufikisha hapa ambapo leo hii hata barabara hatuwezi kutengeneza wenyewe hata umeme miaka hamsini lakini bado tu kuna sehemu ni giza yaani bora mabadiliko bora tupate chama kingine waje na fikra nyingine labda hawa...
Miaka hamsini hata barabara pia tunatafuta kampuni za china au japan ndio watujengee sisi tumeshindwa kweli kabisa hata kuwa na maengineer wenye uwezo wa kujenga barabara zetu sisi wenyewe miaka 50 toka uhuru.
Mwaka huu rasilimali za kampeni ziko sawa tofauti na miaka iliyopita na ni kweli upepo umebadilika tofauti na miezi miwili iliyopita ukweli ni ukweli tu Lowassa ni game changer katika uchaguzi wa mwaka huu mpaka sasa kama watu wanapiga kura sasa hivi yeye anashinda.Magufuli ni kama vile...
Nobody can divert the power and will of the people thats why its called governmnet of the people for the people by the people.always in your dream remember to rule tanzania you needs peoples approval.
For fifty years they have ruled the country and here we are very poor country with ccm slogan nchi bado changa untill when itakomaa its not about kikwete gang its about economic policy failure of the ccm for past five decade so its time we put them aside and give opportunity to other party with...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.