Recent content by Tawire

  1. Tawire

    JamiiForums Tanzania Msaada Mtanzania Anayeishi Namibia.

    Pamoja mkubwa.
  2. Tawire

    JamiiForums Tanzania Msaada Mtanzania Anayeishi Namibia.

    Na wanaamini i formatiob zote online ni sahihi 100%
  3. Tawire

    JamiiForums Tanzania Msaada Mtanzania Anayeishi Namibia.

    Habari za wakati huu wanajukwaa? Naomba kupata mawasiliano ya Mtanzania anayeishi nchini Namibia,Kuna jambo la muhimu naomba kumshirikisha ili niweze kupata ushauri stahiki. Kama yupo yeyote hapa,tafadhali naomba tuwasiliane kwa Direct Message (DM). Naomba kuwakilisha.
  4. Tawire

    JamiiForums Tanzania Kampuni za betting zilizokimbia soko la tanzania

    Mwenye expirience na betway,hawa jamaa pesa wanatoa?
  5. Tawire

    JamiiForums Tanzania Kuna Mtanzania anafanya kazi Canada?

    Hapana,sijapata.
  6. Tawire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku nilipogundua mwanamke wangu ana wanaume wanne tofauti: Sitoamini tena mwanamke

    Kwamba makalio ni Spika?
  7. Tawire

    JamiiForums Tanzania Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

    Kitabu kinapatikana wapi?Nawezapata soft copy?
  8. Tawire

    JamiiForums Tanzania Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

    Kitabu kinapatikana wapi?Nawezapata soft copy?
  9. Tawire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho: Wazee wenzangu 60+ nimepata aibu ya kufunga mwaka

    Hakuna aibu yoyote,Gwajima kichupa chake cha X na alikupangua mbele ya waumuni elfu 5,sembuse huyu dingi Mzee wa kanisa tu.
  10. Tawire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Red flag gani ilikukimbiza kutoka kwa mwanaume/mwanamke uliyekuwa ukimtaka?

    😃😃😃
  11. Tawire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho: Wazee wenzangu 60+ nimepata aibu ya kufunga mwaka

    Hapa JF kila mtu anajifanya msaafi,Hana makandokando,binadamu wanafki kuliko wote utawapata hapa.
  12. Tawire

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Waziri Ulega tunaomba uanze na Barabara zilizofumuliwa bila kukamilishwa hapa Kigamboni

    Kigamboni ni kama mtoto yatima,Wilaya imetelekezwa Kwa kila kitu.Wananchi kupitia sekta binafsi wanajitahidi kwelikweli kufanya uwekezaji na maendeleo lakini hawapati support ya srikali,Angalia Tu swala la kivuko,Porojo miaka nenda miaka rudi, Barabara zilozopo hazifanani na wilaya jirani kabisa...
  13. Tawire

    JamiiForums Tanzania Uko tayari? Dar es Salaam mpya inakuja. Serikali kutwaa eneo la mita za mraba 233,000. Maeneo ya Sinza, jirani na Mlimani City, Boko, SIMU2000 kuguswa

    Wilaya ya Kigamboni inazidi kusahaulika kwenye miradi hii mikubwa.
  14. Tawire

    JamiiForums Tanzania Rais Assad aripotiwa kuikimbia Syria, Majeshi ya Waasi yatangaza kuuchukua mji mkuu wa Damascus

    Ugomvi wa Ruto na wananchi wake ni kugombania kibaba cha unga mkuu.
  15. Tawire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeshawahi kufumaniwa?

    Kwamba wewe huchepuki mkuu?
Back
Top Bottom