Recent content by TAWA

  1. TAWA

    Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

    matombo hakujawahi kuwa na lami acha kabisa kudanganya watu
  2. TAWA

    KERO Watoza ushuru wa maegesho ya magari Manispaa ya Morogoro wanatoza ushuru kinyume na utaratibu

    Tunachobishania hapa, wewe unaongea nadharia na kutetea usichokijua Mimi nakwambia uhalisia na kitu ambacho kinafanyika. Hapo ndiyo kwenye shida
  3. TAWA

    KERO Watoza ushuru wa maegesho ya magari Manispaa ya Morogoro wanatoza ushuru kinyume na utaratibu

    Nadhani hujanielewa na hutaki kuelewa. Morogoro kwa sasa ukipaki gari yako hata nje ya nyumba yako itadaiwa ushuru wa maegesho. Sasa huo siyo utapeli!?
  4. TAWA

    KERO Watoza ushuru wa maegesho ya magari Manispaa ya Morogoro wanatoza ushuru kinyume na utaratibu

    Yeye ndiyo kaweka watu wa kutoza ushuru mpaka kwenye vibaraza vya watu majumbani. Huoni kuwa ni utapeli!?
  5. TAWA

    PreGE2025 Kujificha nyuma ya hoja ya kutokuhudhuria kwa Katibu Mkuu wa CCM: Upinzani wamekosa Sera madhubuti

    "Watanzania tulio wengi ni wajinga Sana kichwani" mwisho wa kunukuu
  6. TAWA

    KERO Watoza ushuru wa maegesho ya magari Manispaa ya Morogoro wanatoza ushuru kinyume na utaratibu

    Naripoti kutoka Morogoro manispaa: Kumekuwa na changamoto kwa wakazi wa manispaa ya Morogoro kutozwa ushuru wa maegesho ya magari na watu wa halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kinyume na utaratibu. Ukiegesha gari bila kujali katika maegesho rasmi ya Manispaa au popote pale anakuja mtu wa...
  7. TAWA

    Benson Bana na Said Mkumba wako wapi?

    Wa kufanyaje
  8. TAWA

    Nchi inawaza kushinda uchaguzi tu

    Hovyo sana
  9. TAWA

    Haji Manara: Bandari ya Dar es Salaam ni ya waarabu toka enzi na haituhusu

    Huyo ni mgonjwa, dawa anazotumia ni Kali Sana. Sasa siyo vizuri kubishana na mgonjwa au kumsema vibaya mgonjwa
  10. TAWA

    GE2020 Dkt. Magufuli mrudishe January Makamba na Nape wajibu hoja, Polepole anakihujumu chama

    Hivi unadhani Nani huwa anamshauri mwenzake Kati ya Magu na Polepole!?
  11. TAWA

    Mwalimu Mkuu anapomtusi Rais kupitia gazeti la Jamhuri, makala yake ya tarehe 25 Feb

    Pengine alikuwa anamsema Museven unajuaje Sent using Jamii Forums mobile app
  12. TAWA

    Bongo Zozo amesajili Channel yake TCRA?

    Ila huyu jamaa kuna anachokitafuta hapa nchini. Tukija kumshtukia itakuwa too late Sent using Jamii Forums mobile app
  13. TAWA

    Taifa lina Rais gani asiyependa kuongea na wananchi?

    Ameongea na taifa kupitia simu ya diamond plutnam huko Kigoma Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom