Anaitwa SAID JUMA NKUMBA (siyo MKUMBA) ni DC Geita kahamia Juzi tu kutoka Ukombe.Hawa watu ni wanasiasa waandamizi katika nchi hii, mmoja alikuwa mbunge Wa bunge LA Tisa na mwingine alikuwa mchambuzi mahili Wa siasa katika awamu ya nne.
Kwa sasa hivi wapo wapi watu hawa!?
Sent using Jamii Forums mobile app