Mahakama haina jeshi wala mdogo wake jeshi. Serikali ndo yenye jeshi na kwa hili Serikali ya SA ndo iliyotekeleza amri ya Mahakama. Kosa la waandamaji ni nini hapa? Serikali ya SA ilikuwa na uwezo wa kuruhusu ndege kuruka na kuendelea na safari hata kama mahakama imeamua ndege isiruke...
Sikutishi mzee. Ndo ukweli huo. Yaani Mungu akitaka umuone ukiwa hai utajuta maana hutatamani utakachokipata. Usiombe mzee. Heri usubiri ufe maana hata ukionana naye huna la kufanya. Kuna watu walitamani kumuona wakiwa hai, alifanya introduction tu kabla hawajamuona. Walisema heri asije...
Unalaumu polisi ili iweje? Moto huo wa ghafla nani angeweza kuzuia? Cha msingi watu wetu waache tabia ya kuparamia magari ya mafuta pindi yapatapo ajali. FULLSTOP
KWANI WAO WALIKUWA SIYO WALIPA KODI? WANANCHI KARIBU WOTE WANALIPA KODI. WAO VILEVILE WALIKUWA WANALIPA KODI. KWA HIYO HELA ILIYOTUMIKA NI KODI YAO AMBAYO NI HAKI YAO KUITUMIA. MIMI SIONI HAJA YA KULALAMIKA ETI KODI INAPOTEA BURE. HAWA NI BINADAMU LAZIMA WAZIKWE KWA HESHIMA ZAO, LICHA YA AINA YA...
Wewe endelea kujidanganya kuwa sio sauti zao. Ulitaka clip itoke kabla ya barua? Kama clip ingetoka kabla ya hiyo barua, unadhani hiyo barua ingetoka sasa?
ACHA KULALAMIKIA KISWAHILI WEWE. KISWAHILI NI LUGHA NDOGO SANA NA HUNA MILIKI NAYO NA HAIWEZI KUTUFIKISHA POPOTE PALE. YULE MKENYA KATANGAZA OLDUVAI GEROGE KWA KUTUMIA KINGEREZA HAJATUMIA KISWAHILI. LAZIMA UJUE KUWA WATANZANIA TUNA TATIZO LA LUGHA KWA MAANA YA KINGEREZA. TUMESHINDWA KUJUA KUWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.