Recent content by tauzen

  1. tauzen

    Hakuna kitu kinachoitwa kipaji (kuzaliwa na uwezo wa kufanya kitu fulani)

    Ni wewe Tu unayo muona mess mbona Mimi namuona Hana kitu ?
  2. tauzen

    Najua kuna ma-great thinkers humu ndani, mnisaidie kitu!

    Forex sina Imani nayo Kwa kuwa nimewahi loose kama 30000
  3. tauzen

    Najua kuna ma-great thinkers humu ndani, mnisaidie kitu!

    Ninapokea boom 595000/=kila baada ya miezi miwili.nina lipwa Ada 225000/=.kwa mwaka. Ada ya Chouo NI 1330000/= kwa mwaka NAOMBENI USHAURI ninawezaje kumeneji hizi fedha ili ninapo maliza chuo niwe na chochote kitu ,nawasikiliza tafadhari!!
  4. tauzen

    Fanya biashara hizi kama una mtaji kiduchu

    Hahaha........!,naendelea kujifinza
Back
Top Bottom