Recent content by tausiausi

  1. T

    Watu ambao siku ikatokea wakakutana damu itamwagika, watapigana sana

    jiwe lililowashinda waashi na jiwe la feri
  2. T

    USHAURI WA BURE:O-LEVEL ukifaulu achana na A-level nenda Diploma

    mm sijaelewa kwahiyo km amefaulu masomo ya sayansi na anataka kwenda engineering hicho chuo km DIT anakuwa amechagua tangu anafanya mtihan km wanavochagua shule kwenda kidato cha kwanza au anaenda kuomba baada ya matokeo kutoka ndio ada inakuwa nafuu hvo au anakuwaje amechaguliwa moja kwa moja...
  3. T

    Naomba sababu tatu kwanini mtu amiliki laini za simu zaidi ya moja!

    nashangaa kuingiliana mpaka mambo binafsi ikiwa vocha sinunuliwi sijui watu wanawashwa washwa wapi
  4. T

    Usiyoyajua kuhusu kutorusha Habari Azam, Kupotea Local channels

    yes maana jipu hili pamoja na kuwa wazi litakuwa limekaa kwenye mwili wa kibonge ndio maana halikuonekana miaka saba
  5. T

    Katibu Mkuu wa CCM uko wapi? Kuna tatizo chamani!

    Write your reply...nnje ya mada:nauliza waitara ndio yule meya?hadi kwenye uzinduzi wa daraja la kigamboni akasifiwa na mkuu huku akitaniwa (kiukweliukwel) kuwa huyu sio mpinzan ni wa kwetu?
  6. T

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Wapi naweza kupata chotara aliekaribu kutaga na jogoo wake na bei zikoje
  7. T

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Kjamani naomba msaada kuku wangu alijichanganya akaingia banda LA bata amedonolewa ana vidonda kichwani nimfanyeje
Back
Top Bottom