mm sijaelewa kwahiyo km amefaulu masomo ya sayansi na anataka kwenda engineering hicho chuo km DIT anakuwa amechagua tangu anafanya mtihan km wanavochagua shule kwenda kidato cha kwanza au anaenda kuomba baada ya matokeo kutoka ndio ada inakuwa nafuu hvo au anakuwaje amechaguliwa moja kwa moja...
Write your reply...nnje ya mada:nauliza waitara ndio yule meya?hadi kwenye uzinduzi wa daraja la kigamboni akasifiwa na mkuu huku akitaniwa (kiukweliukwel) kuwa huyu sio mpinzan ni wa kwetu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.