Jombaa safi sana unaiingizia spana kishenzi hii minyumbu hadi ielewe inajifanya vichwa vigumu piga spana hao. Eti unakuta jitu linajifanya halizini huku alafu linasubiri bikra sabini. Kwahiyo pombe imekatazwa duniani ila imeruhusiwa peponi sio.
We chizi kweli, eti hakuwa na elimu alikuwa anayachukua tu kwahiyo katika kuchukua ndo akachakachua na kuwalisha tango pori, mtu anateseka huko unasema anajilia bikra 72!
Acha porojo muarabu pori mizani ipi ya nyama au? Alafu mnajikuta nyie ndo mnaelewa zaidi dini mshukuruni yule mtawa wa kikristo kwa kuwafundisha injilk
Usiruke ruke kama maharage bro swali simple hamna mouvu,mauaji yaliyofanyika wakati wa kueneza uislamu? Vipi na ile hadithi ya Muhammad kuvamia mji wa wayahudi na kujitwalia mke hapo vipi imeingia? Namaanisha maneno yamekuingia?
We inabidi uendelee kubaki na mizinga, watumwa wa sehemu gani hao walikuw wanakula vizuri wanalala vizuri? Wa Brazil, Wamarekani au Uarabani? Na unaijua vizuri hiyo biashara ilivyokuwa au unahadithiwa tu! Watu walikuwa mpaka wanavalishwa helmet kichwani wasile kama adhabu? Fanya research yako upya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.