Njaa ikizidi sana,watu watashindwa kuvumilia tu mkuu.
Kuna kijana Mtunisia Mohamed Bouaziz alijichoma moto kisa maisha magumu amesoma na hana ajira, Hii iliwaamsha unemployed wengi Tunisia watu waliandamana ,barabara zilifungwa. So Ni suala la Mda mtu akitokea wa kujitoa muhanga mmoja tu...
Elimu inadharauliwa kwasababu watanzania wengi wanasaka ukombozi wa kiuchumi kuliko ukombozi wa kifikra.
Hii ni kutokana na changamoto za kiuchumi tu mkuu, mtu anaona haina maana kusoma na kusota mtaani wakati kuna deals ndogondogo anaweza akafanya akaendesha maisha ya kila siku.
Mkuu, wanavyuo wengi huandaliwa kukabiliana na mazingira ambayo kiuhalisia hayapo , ni mazingira ya kufikirika . Wakija kwenye mazingira halisia sasa inakuwa mtiti.
Mazingira halisia yanahitaji uzoefu sio elimu ya nadharia, Ni vigumu kutoboa, Huyo darasa la Saba tayari ana uzoefu elimu yake...
Ni kweli serikali ina mchango mkubwa katika janga hili.
Lakini mkuu suluhisho sio kuendeleza kuwananga vijana. Hii ndiyo inapelekea sasa matatizo ya afya ya akili yanakuwa mengi katika jamii.
Vijana wanapambana na sonona kutokana na kuandamwa kila sehemu huku kiini cha tatizo ambacho ni...
Wasaalam,
Hivi karibuni humu kumekuwa na ongezeko kubwa la nyuzi(threads) zenye mlengo wa kuwadhalilisha wahitimu wa vyuo vikuu (graduates) na wanafunzi waliopo vyuoni kwamba ni useless na hawana uwezo wa kujitegemea kabisa.
Kwa utafiti nilioufanya, hii kampeni inaendeshwa kwa asilimia kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.