Ajuza naona umetekenywa ukatekenyeka!
Vichwa vitawauma sana mwaka huu jiandaeni kupaki virago wazalendo tumeamua kuutokomeza ukoo wa panya kuhodhi madaraka ya Nchi hii wanainchi wamechoka na ghiriba zenu na ulaghai usiomithirika.
Poleni sana ndg zangu mliofikwa na majonzi na pia RIP kwa marehemu wote.
Mi nashauri tuwe tunachukua tahadhari jamani ndg zangu hasa kwenye ajari ambazo zipo ktk hari hatarishi kama hizi hakuna ulazima wa kwenda kurudikana pamoja barabari kama hakuna wahanga wa kuokolewa basi tuwaachie...
Teh teh teh! umeletwa na mafuriko gani mbona hatujaona mvua leo? mtalia sana mwaka huu kila rangi mtaiona!!
Warioba kampiga shetani mkuu kichwani maneeena!
Hii imekaa poa sana!(in jots voice) hiyo kitu inaitwa kata ngebe shombo zake zimnukie hukohuko na mwisho wa siku anaumia mwenyewe.
thats good reaction!
Natuseme AMINA Katika hili!
mashambulizi kama haya yanatujengea umoja imara kumtwanga ccm za uso! Tusikubari ccm waingize virus kutuvuruga.
Nawaomba wawe wamoja sisi wananchi tupo nyuma kutoa support.
Hii Nchi CCM wanavyoiendesha wanafikiri sisi raia ni maboya sana na masikini wa kupelekeshwa kijuha! Walifikiri wajumbe wote wanazuzuka na kufungwa akili kwa ujira wa 300000? Huu upumbavu waishie kuufanyia hukohuko lumumba kwa wachumia tumbo.
Tutahisi usingizi, lakini hatulali mpaka ukombozi...
Bilioni 4 ni pesa mingi sana haiwezekani kucontain kwenye cruza (unless hiyo dfp iwe kubwa zaidi ya nijuavyo) bila kuonekana. Talking frm my experience nimecheza sana na haya makaratasi ya madafu.
Hao majambazi wameweza kupakua huo mzigo na kufanikiwa kuondoka nao na kwa usafiri upi?
Hiyo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.