Hahaaa, madhara unayoyapata kwenye mashuzi unayoyapata kwa mwenza wako, kwanza umeshayavuta sana kupitia pua zako kama hewa chafu, kulingana maelezo yako bado unampenda sana, siamini kama unaweza ukamkabidhi mwingine gizani akahakikisha na kuusikia huo ushuzi, nawasilisha
Dada utashauri sana, labda kama wadada wote wangekuwa na akili na maamuzi ya kufanana kama yako, lakini kama ni kwa mwendo huu!, wadada ni walaini kama mchicha wa Singida kama sio Tabora
Wanaume wa Dar siku wakiacha kula vi-menu vya chips yai kuku watafanikiwa. Wadada wa Dar njooni Kanda ya ziwa kuna marijali wa kutosha huna haja kupeleka byfriend wako kuombewa kanisani apate nguvu za kiume
Ni kwa sababu wanapenda kula michuzi ya pweza, wamedanganywa kisaikolojia na wauza pweza. Wauza pweza wanavuna hela kila kukicha na kuwaacha wateja wao wakilia bila msaada. wadada wa huko waelekee kanda ya ziwa wawakute marijali wasiohitaji hata supu ya sato
Kwa navyokuona huna uhakika na maisha, kwanza wewe mwenyewe hujatulia. Una ahadi na mama mtu mzima M-south rika la mama yako, afu tena umedata kwa mwanafunzi wa University Botswana na bado unadanganya mkeo hutamtelekeza. Pole sana kwani naona naona mke huna na ndiyo maana unapanga mipango ya...
Dadaangu una wakati mgumu, tatizo unakimbilia pochi na hao wenye pochi shida shida yao ni bao moja tu chini ya dk1. Ukome kusotea wenye uwezo wa hela. utakomaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.