Habari wakuu,
Naomba mwenye kreti za soda zikiwa na chupa tupu anitafute tufanye biashara.Nitumie ujumbe kwenye namba 0673404808, then nitakupigia.
Napatikana Dar es salaam.
Asanteni.
Habari wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa airtel money kwa tshs.120,000/= maelewano yapo.
Ukiwa na laini hii utaweza;
kusajili laini za airtel
Kuuza muda wa maongezi wa airtel
Pia utapata kamisheni ya kuvutia
Niko Dar es salaam.
Kwa anayehitaji namba zangu ni 0673404808
Wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa M-pesa kwa bei ya tshs.150,000/=,maelewano yapo.Naiuza kwa maana nataka kubadilisha biashara.Niko Dar es salaam.Kwa anayehitaji nitafute 0673404808
ndugu we acha tu!!!!!!! kwa jinsi dida anavotukana mpaka mtu unaona aibu,mie nungekuwa mkurugenzi wa hii redio hiyo milioni wangelipa wao kwa kuwakata kwenye mishahara yao,pia kuna haja ya kuangalia mitaala inayotumika kufundishia hawa watangazaji uchwara maana yawezekana wanafundishwa matusi...
Ila ni ujinga baba mzima kukateka katoto na kukaua kisa ni Muisraeli.Duh!? kama wanaweza watangaze vita kabisa sio kuua watoto afu wakitutuswa na midege ya Israeli makele kibao
habari wakuu nauza subwoofer yangu aina ya sea piano bei tshs.50000/=.Zingatia: haina redio wala sehemu ya memory card ni spika tu na tweeter zake mbili.haina tatizo lolote inapiga mzigo kama kawa.Kama waitaka nipigie 0654404707 Niko dar es salaam.
Habari wakuuu nauza simu yangu aina ya huawei ascend y 220
sifa zake ni kama hivi:
Android 2.3
3.5 inch HVGA full touch screen
Wi-fi 802.11 b/g/n
bluetooch 3.0 EDR/HS/A2DP
web-browser
G-sensor
Camera
USB 2.0 High speed
Internal
256 MB RAM, 512 MB ROM
Expand slot:Micro SD (Up to 32GB).
niko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.