Recent content by Taste-Tester

  1. Taste-Tester

    Dhana kuhusu Ndimu au Limao

    Amani iwe nanyi... Mara nyingi nimekuwa nasikia kutoka kwa watu mbalimbali kuwa utumiaji wa Ndimu au Limao iwe kwa kuweka kwenye chai au kwa kuikamua na kisha kunywa maji yake husaidia kupunguza uzito, je, kuna ukweli wowote au ni dhana ya kufikirika tu? Nawasilisha
  2. Taste-Tester

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Madaktari wengine ni feki, na mimi ndiye mshindi.
  3. Taste-Tester

    Ewe dada uliye lonely soma hapa!

    Hayo ni maoni yako according to your memkwa's knowledge!
  4. Taste-Tester

    Ewe dada uliye lonely soma hapa!

    Mimi ni m1 kati ya wengi waliowahi kuumizwa na wale wasiojua kupendwa, hopeful kupitia hapa nitapata wa kufanana nae!
  5. Taste-Tester

    Ewe dada uliye lonely soma hapa!

    Huenda umewahi kuumizwa na wasiojua kupenda/kupendwa au hata kama siku zote umekuwa ukisubiri, nina imani kwa uzi huu ndoto yako itatimia. Sina masharti yoyote, kama umenielewa PM.
  6. Taste-Tester

    Mikasa ya tuition:

    Binti alirudi toka tuition akiwa kachangamka na mwenye furaha sana na hivyo Baba'ke kutaka kujua kulikoni... maana ni hali ambayo hajawahi kuishuhudia kwa binti yake huyo, na hivi ndivyo ilivyokuwa: Baba: Mbona leo una furaha sana mwanangu kulikoni... Binti: Mwalimu katufanyia test ya kujikinga...
  7. Taste-Tester

    Sijawahi kumfikisha mwanamke kileleni

    Kila kazi ina watu wake kaka, nakushauri uende Moshi kawachukue wapagazi watakufanyia hiyo kazi kwa umakini mkubwa, watamfikisha kileleni huyo mwanamke wako.
  8. Taste-Tester

    Ushauri please

    Hilo nalo neno.
Back
Top Bottom