Taste-Tester
Member
- Mar 13, 2014
- 8
- 0
Amani iwe nanyi...
Mara nyingi nimekuwa nasikia kutoka kwa watu mbalimbali kuwa utumiaji wa Ndimu au Limao iwe kwa kuweka kwenye chai au kwa kuikamua na kisha kunywa maji yake husaidia kupunguza uzito, je, kuna ukweli wowote au ni dhana ya kufikirika tu?
Nawasilisha
Mara nyingi nimekuwa nasikia kutoka kwa watu mbalimbali kuwa utumiaji wa Ndimu au Limao iwe kwa kuweka kwenye chai au kwa kuikamua na kisha kunywa maji yake husaidia kupunguza uzito, je, kuna ukweli wowote au ni dhana ya kufikirika tu?
Nawasilisha