Achana nae huyo, sie bado tuna ndoto nabhizi madude.
Jamaa mleta uzi anafanya kuelezea ionekane ni kazi rahisi sana, anajua anachokifanya, ni taaluma yake maybe, abarikiwe sana!
Endelea na ndoto zako sheilh! Mambo mengine subiri ufe lwanza ndo utajua hujui. Wengi mbingu tunaitazama kizinzi-zinzi, subiri mbususu za peponi yakhe!
M
ie miaka 6,BSc. With Education (Agricultural Science and Biology) ila sijawahi kuulizwa GPA, tunasubiri jambo la TAMISEMI tu kama fainali ya wananchi! 😂 😂 😂 😂
Ni sawa mkuu, ukiwa naa kipato lazima uitwe mzee, ila sie watoto ndo viwango vyetu ivo, tena kitaa changu ukiwa na salary ya 600k, unaitwa boss kabisa, na unaheshimika ile mbaya! 😂 😂 😂 😂
Hapana mkuu, ukishiba usikufuru basi. Kuna watu mjini wana kipato kidogo kweli kweli, kwa sisi tuliokaa uswahilini, mshahara wa laki 2 ni mkubwa tu eti na mtu anaheshimika😂, analipa pango 30k kwa mwezi uhakika, usitushangae mkuu, tunaishi vizuri tu kwa nusu milioni.
Ukibahatisha kupata riziki ya kukuweka mjini, usiingiwe na ujinga, zingatia maisha yako kwanza, kama chini ya milioni unajishangaa, shangaa pia na chini ya laki 2, wanaofanya kazi viwandani, unajua wanacholopwa!?
Hoja yako ni nzuri, ila rejelea upya bei ya projector inayofaa kutumiwa darasani (1.5mil na kuendelea) solar inahitaji mfumo kamili, sola panel 400watts (laki 5 na kuendelea) charge controller 30amps (around laki moja), inverter watts 1000 around laki moja, battery angalau 100aH kuanzia laki 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.