Recent content by Tariq f

  1. Tariq f

    Career gani bora upande wa Information Technology?

    Habari wakuu, Mimi ni mwanafunzi wa Chuo X hapa jijini Dar Es Salaam, nikisomea degree ya Information Technology. Kiukweli Information Technology maarufu kama IT ni Interesting Course, hii kutokana na wigo mpana wa Careers zinazoweza kupatikana kwenye Programme hii. Kwa sasa nipo njia panda...
  2. Tariq f

    Mokwena: Tunaiheshimu Yanga. Kwa watu waelewa hii kauli ni mbaya

    Zipo hizo mechi, Kocha wa Jwaneng Galaxy hakuonyesha nidhamu mbele ya Simba na kusema ni kikosi cha wazee Lakini Simba akapiga Sita.
  3. Tariq f

    Mokwena: Tunaiheshimu Yanga. Kwa watu waelewa hii kauli ni mbaya

    Habari wakuu, Tuanzie hapa, " Haina maana ya kufanya defense, mpira ni mchezo wa burudani inayovutia mashabiki. Tunaenda kucheza mpira kama ilivyo kawaida yetu. Tunaiheshimu Yanga, hivyo tutahakikisha tunakuwa vizuri ili kukabiliana nao bila kufanya mabadiliko yeyote makubwa." Kocha wa Mamelodi...
  4. Tariq f

    Thapelo Maseko: Silaha ya siri itumiwayo na Mamelodi Sundowns

    Mbona huu uzi haujazungumzia unafki wowote mkuu wala kumsema mtu
  5. Tariq f

    Msaada wa Connection ya Internship in IT

    Habari wakuu, Mimi ni mwanafunzi wa Chuo X, nikisomea shahada ya Habari na Mawasiliano maarufu kama IT ( Information Technology ) hapa Dar Es Salaam. Bado sijamaliza degree yangu nipo mwaka wa pili nikiendelea kupambana na kitabu. Licha ya hayo napenda zaidi kufanya kazi au kujitolea (...
  6. Tariq f

    Thapelo Maseko: Silaha ya siri itumiwayo na Mamelodi Sundowns

    More love cocastic kama unamkubali mwamba kutoka SA
  7. Tariq f

    Thapelo Maseko: Silaha ya siri itumiwayo na Mamelodi Sundowns

    Yanga ubora wake uko wapi!?
  8. Tariq f

    Thapelo Maseko: Silaha ya siri itumiwayo na Mamelodi Sundowns

    Of Course, that's why nawapa onyo Dar Young Africans
  9. Tariq f

    Thapelo Maseko: Silaha ya siri itumiwayo na Mamelodi Sundowns

    Habari wakuu! Kuelekea Robo Fainali Tarehe 30 pale kwa mkapa hebu tuchukue hii kwanza... Wakati macho ya wengi wakipiga hesabu za Themba Zwane, Teboho Mokoena, Peter Shalulile, Marcel Arende, Bongani Zungu nk. Kwa bahati mbaya inakuwa kama ni danganya toto fulani hivi inayotumiwa mara nyingi...
  10. Tariq f

    Vijana tuwe strong, magumu yapo tu

    Pamoja kiongoz
  11. Tariq f

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Karibu
  12. Tariq f

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nipo Dar temeke kiongozi
  13. Tariq f

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nauza samsung A2 core Shilingi 50000/= Inacrack kidogo kwenye kioo ila sio kubwa, Ram 2GB Storage 16GB
  14. Tariq f

    Naapa kujiua

    Asante
  15. Tariq f

    Naapa kujiua

    Me hata mtaji sina baba angu, ningekuja hata huko kijijini kutafuta maana sichagui kazi
Back
Top Bottom