Habari wakuu,
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo X hapa jijini Dar Es Salaam, nikisomea degree ya Information Technology.
Kiukweli Information Technology maarufu kama IT ni Interesting Course, hii kutokana na wigo mpana wa Careers zinazoweza kupatikana kwenye Programme hii.
Kwa sasa nipo njia panda...
Habari wakuu,
Tuanzie hapa,
" Haina maana ya kufanya defense, mpira ni mchezo wa burudani inayovutia mashabiki. Tunaenda kucheza mpira kama ilivyo kawaida yetu. Tunaiheshimu Yanga, hivyo tutahakikisha tunakuwa vizuri ili kukabiliana nao bila kufanya mabadiliko yeyote makubwa."
Kocha wa Mamelodi...
Habari wakuu,
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo X, nikisomea shahada ya Habari na Mawasiliano maarufu kama IT ( Information Technology ) hapa Dar Es Salaam.
Bado sijamaliza degree yangu nipo mwaka wa pili nikiendelea kupambana na kitabu.
Licha ya hayo napenda zaidi kufanya kazi au kujitolea (...
Habari wakuu!
Kuelekea Robo Fainali Tarehe 30 pale kwa mkapa hebu tuchukue hii kwanza...
Wakati macho ya wengi wakipiga hesabu za Themba Zwane, Teboho Mokoena, Peter Shalulile, Marcel Arende, Bongani Zungu nk.
Kwa bahati mbaya inakuwa kama ni danganya toto fulani hivi inayotumiwa mara nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.