The boss naomba kuuliza hivi kamishina wa tra,tfd,elimu na makamishina wote kwenye idala wanakuwa sawa na wale makamishina wa polisi mfn kova mpinga na wengine. Manaake nimeona wazir akimwambia igp amkamate bashe wakati kova yupo je kova hana uwezo wa kumkamata kamishina yoyote.
Matamko yako mengi sana lkn nchi hii wapinzan watamwaga dam sana ila wajitahidi kutoa matamko ya kielimu,kiraia ili sanduku la kura liwawajibishe watawala. Naamini baada ya magufuli wapinzani ndani ya miaka kumi kupita wanaiangusha ccm, matamko yatapoteza ladha ya ccm kukabidhi nchi tuwe wavumilivu.
Lizaboni ndugu gama namjua vzur hamna lolote tena hakuna watu vilaza kama watu wa songea na ruvuma nzima. Toka ameondoka Gama mkubwa na kawawa hakuna kiongozi nchimbi bule komba ndio usiseme manyanya ndio kabsa bora jenista muhagama
Tuliambiwa tusilinde kura sasa leo nn kinatokea? Mbona mnatoka povu sana mlisema lowassa rais wa nchi ipi labda rais wa boda boda tuache utani huyu mmasai katupwa mbali sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.