Recent content by Tariq boy

  1. T

    Hivi Waziri Mkuu anaweza kumwamuru IGP kumkamata mtu?

    The boss naomba kuuliza hivi kamishina wa tra,tfd,elimu na makamishina wote kwenye idala wanakuwa sawa na wale makamishina wa polisi mfn kova mpinga na wengine. Manaake nimeona wazir akimwambia igp amkamate bashe wakati kova yupo je kova hana uwezo wa kumkamata kamishina yoyote.
  2. T

    Kamanda Mawazo ameuawa na Mfumo wa Jeshi la Polisi - Lema

    Matamko yako mengi sana lkn nchi hii wapinzan watamwaga dam sana ila wajitahidi kutoa matamko ya kielimu,kiraia ili sanduku la kura liwawajibishe watawala. Naamini baada ya magufuli wapinzani ndani ya miaka kumi kupita wanaiangusha ccm, matamko yatapoteza ladha ya ccm kukabidhi nchi tuwe wavumilivu.
  3. T

    Kamanda Mawazo ameuawa na Mfumo wa Jeshi la Polisi - Lema

    Hivi unawezaje kuchukua madaraka kutoka kwa watawala wa nchi za africa kwa wepesi namna hiyo.
  4. T

    Kamanda Mawazo ameuawa na Mfumo wa Jeshi la Polisi - Lema

    Ninayo ila jibu swali langu.
  5. T

    UKAWA kususia Bunge la 11 linaloanza Jumanne ijayo!

    Kichwa kitakuuma kwa uzururaji wako na utambuzi wa mambo.
  6. T

    UKAWA kususia Bunge la 11 linaloanza Jumanne ijayo!

    Hivi kuna mbunge hata enda bungeni? Kama kuna mbunge hata enda bungeni mnijihadi
  7. T

    Rostam Aziz ndiye nahodha wa mikakati ya wizi Serikalini

    Ukweli mtupu huu nchimbi aliingia bungeni kwa kupitia rostam, tena mzee gama alitolewa jasho kweli pale songea rostam akiwa pembeni.
  8. T

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Lizaboni ndugu gama namjua vzur hamna lolote tena hakuna watu vilaza kama watu wa songea na ruvuma nzima. Toka ameondoka Gama mkubwa na kawawa hakuna kiongozi nchimbi bule komba ndio usiseme manyanya ndio kabsa bora jenista muhagama
  9. T

    Wosia wa mwisho kwa vijana wa Kitanzania

    Tuliambiwa tusilinde kura sasa leo nn kinatokea? Mbona mnatoka povu sana mlisema lowassa rais wa nchi ipi labda rais wa boda boda tuache utani huyu mmasai katupwa mbali sana.
  10. T

    Regina Lowassa - Shujaa wangu

    Dunia inavituko!!!
  11. T

    Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!

    Arusha ilikuwa chini ya ccm baada ya edo kuama ccm arusha Kilimanjaro yote cdm sio kama wameangalia ndugu yao.
Back
Top Bottom