Kuna muda Pascal Mayalla anarudi na kujiteka mwenyewe. Niseme pia maisha ni bahati unaweza ukasifia sana na usibahatike kamweee
Unaweza ukatumia akili mno na usipate kitu, unaweza kuwa mropokaji na ukapata kila kitu mpaka usivyokua ukihitaji.
Kuwa huru ukihitajika utatafutwa, mkuu Pascal...
Kopeni na msirudishie matapeli pesa
Kopa kampuni zote kisha futa app yao mara moja ukishapata mkopo.
Ata wakutangaze TBC1 usilipe Tanzania ni yetu sote na wakopaji ndio masikini jeuri.
Kwanzaa huyo jamaa muelezee matatizo yako kila mwezi yaani wewe kila kukicha mpe misala mpaka ahisi una mikosi. Ata achana na wewe.
Usikae umwambie jambo lako zuri ata moja wewe simulia matatizo tu. Hii itamfanya afurahie na apunguze kukusumbua. Tumia akili sana
Ungejaribu kwanza kuondoa mikosi uliyonayo au kupunguza ujuaji au kuacha kutukana mamba kabla hujavuka mto au kujaribu kuwa msiri.
Malizana na hizo au mambo yatakaa sawa usisahau za kuambiwa + na za kuzaliwa.
Ndio maana nasema chuo mnaendaga kusomea. Ujinga mambo ya kutumia akili wewe unaenda...
Mhaya maisha ni fumbo
Maisha ni CODE
Unaweza kuzani umepata kumbe umepotea
Maisha ni upepo unaweza kukosea na ukapendwa cc mandonga mtu kazi[emoji16]
Maisha ni kitabu kuna kurasa haziwezi kusomwa mpaka ufariki.....
Maisha sio hisia, masikini sio kuwa hawajitumi na kuwa tajiri sio lazima ufanye...
Sijui kama upo serious nitakupa mafunzo ni rahisi lakini yanaogopesha. Utafanya astra projection ni mafunzo ya roho kuacha mwili kwa muda.
Ni mafunzo hatari kama umepitia jkt au jwtz kidogo unaweza kumudu kuongea na wafu....ukiwa serious nitafute.
Hii ni kama vita na hakuna vita ndogo muhimu...
Sure nasikia raha sana kuwa kaka mkuu wa chama cha wanaume bahili[emoji23][emoji23]
Unajua pesa tunapata lakini shida matumizi hewa, nineishi china na japan wana utamaduni tofauti sana.
Date, sio jambo dogo ni kipengele mtu kumpenda mwenzie yaani mfano hadi mimi nikuelewe sio jambo dogo...
Saivi naona raha kuwa bahili yaani nafurahi kama chizi nikiingia chumbani nikiona pesa zangu ....nafurahi nalalalaaa.
Akili ilinikaa siku mtoto alirudi shuleni akaniambia baba leo Mwalimu kasema ninyoe nywele!!!!
Nikacheki kabatini sina hata buku, nikawaza hapa mtaani nani anaweza kuniazima...
Saivi naona raha kuwa bahili yaani nafurahi kama chizi nikiingia chumbani nikiona pesa zangu ....nafurahi nalalalaaa.
Akili ilinikaa siku mtoto alirudi shuleni akaniambia baba leo Mwalimu kasema ninyoe nywele!!!!
Nikacheki kabatini sina hata buku, nikawaza hapa mtaani nani anaweza kuniazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.