Namshukuru Mungu baadhi wamenipa mrejesho inbox kwamba wameanza pata nafuu kubwa bila kutumia garama yoyote ila baada ya kubadili mfumo wa lishe.
Mungu aliumba miti, miche, na mimea yote na mazao yake kwa ajili ya kutusaidia sisi wanadamu.
Habari ndugu zangu nawasalimu sana.
Bawasiri ni tatizo linalowasumbua watu wengi na wengi wetu tunauchukulia kama ugonjwa wa aibu kutokana na eneo lenyewe linalo athirika.
1. Bawasiri ni matokeo ya kuathirika kwa mfumo wa chakula
2. Mmengenyo wa chakula unapokuwa mbaya na ivyo kinyesi katika...
Moderator naomba uachwe uzi huu kupeana elimu sahihi juu ya EV na hybrid cars.
Kulinda mazingira na kuokoa garama kubwa za mafuta dunia sasa inaenda kwenye magar ya hybri na umeme.
Hybrid owners tuwe na jukwaa letu.
Tumeane elimu, uzoefu na utatuzi wa changamoto mbalimbali
Wananzengo za asubuhi. Wale tunaomiliki Prius/ Aqua tujuane.
Tuambiane na kusaidiana changamoto za mazuri kwenye gari zetu kwa wanaomiliki na kuwapa hamasa ambao bado hawajamiliki wakaribie wafurahie 20km/l
Tutafungua telegram chanel yetu kwa watakao kuwa interested waje inbox ni wa add
Mimi nimekataa mali za baba yangu nyingi kwa utashi wangu na kumwambia awape wadogo zangu zote. najisikia mwepes na nina amani sana.
mali zangu nitawapa wajukuu zangu, watoto nawapa misingi imara nao watafute za wajukuu zao. Miradhi inarurisha maendeleo nyuma.
Tutafute mali kwa jasho na bidii...
Sihitaji kusoma uzi wote ila cha muhimu
TAFUTENI MALI ZENU.
MTU HAPANGIWI MALI ZAKE AMPE NANI.
Iyo ni kafara alitoa kwa utashi wake.
Pengine hayo mashamba ya baba yenu mlinunua wote?.
Ni changamoto hawa mabinti wadogo.
Bora kutafute mwenye 35+ na awe na mtoto uishi naye.
ila all in all tunasubiri Humanoid robots tununue maroboti ya kufanya kazi za nyumbani. Binadam hata umfanyie vipi huwez mridhisha.
Roboti Eunice atatufaa
Kwema wataalamu.
Naombeni ushauri nichukue ipi kati ya izo gari mbili yaani nissan extrail T31 na outlander roodest?
Kwa kuzingatia reliability na durability.
Ndoto rahisi kutafsiri,nimesoma vitabu zaidi ya 20 vya kufasiri ndoto vya jamii tofauti na wanazuoni.
Naeza kufasiri hivi.
Kama ulimshinda basi hadhi, uchumi na nyota yako itakua kuu kuliko ya baba yako, kama alikupiga basi hutaweza kumvuka kwa vyovyote, na hata ikiwa ni kwa muda utarud nyuma...
Habari wakuu.
Ni kosa kubwa sana kulalamika kuwa baba yako hakupendi na anakutenga kulinganisha na wototo wengine lakini amekulipia ada na kukupa mahitaji yote ya msingi lakini unakosa ule upendo kama watoto wengine.
Wazee wa zamani ni tofauti ni vijana wa sasa wakifundwa uvumilivu fulani.
Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.