Wakuu natumaini mko poa
Nampango wa kusafiri kutoka Arusha kuelekea Mwanza leo mida ya jioni kuanzia saa moja usiku, hivi naweza tumia usafiri gani kuelekea huko leo jioni, kama kuna gari za binafsi, IT au gari ya mzigo ambayo naweza pata naomba tupeane connection wakuu [emoji1545]
Habari wana JF
Mimi ni kijana ambaye nimemaliza form six mwaka jana, nimebahatika kusoma chuo Dar (IFM), lakini kutokana kutokupenda kile nilichokuwa najisomea nikaamua kujingiza kwenye biashara ambayo bado haijazaa matunda vizuri [emoji30]
Kwa bahati mbaya wazazi wamenitembelea ghafla Dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.