Mshasha wane
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 231
- 595
Hahahha niliovertake gari iliyobeba afisa usalama Tanzania nzima sehemu isiyo sahihi sasa nadhani kutaka kuonekana kazi inafanyika mbele ya mkuu ikabidi niwekwe kwanza ndani
Duh,mahabusu tena?we utakuwa Mtata sana mutu ya tarime