Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
MhTwende katika jukwaa letu mama la mama
MhTwende katika jukwaa letu mama la mama
NB
Punyeto ni ugonjwa wa wavuta BANGI
Hahaaa ilikua ni by the way flani hivi...
Kweli kabisa mkuu...Mavazi ya akina dada wa siku hizi ni picha za ngono tosha, yani ukikatiza mitaani unaona watu wako nusu uchi, ukitazama filamu unakutana na nusu uchi, ukitazama video za muziki(hususan bolingo) unakutana na nusu uchi. Yani filamu za uchi kwasasa sio lazima utumie smartphone, zipo live zinatembea.. sasa kwa hali hii lazima wanaume tuathirike kisaikolojia.



